Wanawake walioshika dini haswa walokole wengi wao sio wife material wa kuoa

Wanawake walioshika dini haswa walokole wengi wao sio wife material wa kuoa

Hayo mengine sijui ila mimi huwa namshangaa mtu anapokuwa busy na mchungaji na kumuacha mumewe.
Ndio maana wengi ndoa zao zina nyufa.
Watu wanampikia hadi baba mchungaji na mke wake yupo!!
Aafu mumewe nyumbani anapikiwa na house girl!!
 
Hayo mengine sijui ila mimi huwa namshangaa mtu anapokuwa busy na mchungaji na kumuacha mumewe.
Ndio maana wengi ndoa zao zina nyufa.
Watu wanampikia hadi baba mchungaji na mke wake yupo!!
Aafu mumewe nyumbani anapikiwa na house girl!!
Hii sio sahihi wanakosea
 
Katika pitapita zangu mitandaoni nilikutana utafiti umefanywa ya kwamba unazungumzia wanawake wa kilokole au walokole hawafai kabisa kuolewa na wengi wao sio wife material kiasi cha kwamba utadumu nae katika ndoa.

Watafiti wengi wamegundua wanawake wa aina hii wengi wao ni waongo lakini pia hawashauliki wanajiona wako sahihi kila wanachofanya na wengi wana misimamo mikali kiasi kinachowafanya wanaume wengi kuwapiga chini.

Tabia za wadada kuwawekea masharti wanaume zao in terms of tendo la ndoa,kulea familia na kukaa pamoja na familia yaani unamkuta mdada yupo bizee na dini kuliko kuijari familia yake jambo ambalo wanaume wengi hawalikubali.

Lakini pia imegundulika wanawake wengi walokole wana asili flani ya ujeuri,ukorofi na kudhalau mwanaume wake
Naam
 
Mwanamke akishaanza kumwita kiongozi wake wa kiroho "Dady" tayari anakuwa kashapoteza sifa za kuitwa Wife Material. Ulokole sana kwa mwanamke ni RED FLAG. Kimsingi mwanamke hana dini. Anatakiwa afuate imani ya mumewe.
 
Back
Top Bottom