Uchaguzi 2020 Wanawake walioshinda na kushindwa nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu, 2020

Uchaguzi 2020 Wanawake walioshinda na kushindwa nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu, 2020

Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P

Ama kweli Tanzania watu hawataki kuona nje ya boksi! Ubunge sio ajira! Unataka watu wapime pros na cons, huoni kuwa kukubali kupeleka wabunge ni kukubali kuwa CCm imeshinda kihalali? Sasa kama chama kishatowa msimamo wake kuwa hawakubali matokeo halafu wanapeleka wabunge kufanya kazi na serikali ya CCM huoni kama hapo ni kujipaka kinyesi wao wenyewe?
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
Ccm pumbafu kabisa mkakaibia kura haka kabinti.nyie ni mashetani wa kijani
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
Mkuu Pascal p'se be objective. Yaani wewe sasa umeanza kuangalia mwenendo wa kisiasa nchini kama muamala wa kibiashara? Strategically, huoni kasoro CHADEMA kugeuka chama cha "VITI MAALUM" Bungeni? Kikubwa, huoni janga lililotokea kwa demokrasia kuangamizwa nchini kabisa kupitia taasisi muhimu za dola katika uchaguzi Mkuu wa 2020? Kwako ni bora CHADEMA "iwepo tu" kama fursa ya kipato "haramu"cha ubunge usiokuwa na manufaa kwa taifa? Hao wabunge acha CCM iwachukue.

Au ndio REALPOLITIK uliyoamua kuzingatia siku hizi? Yaani watawala wasaidiwe kuendeleza ubakaji wa nchi na wananchi?

Kwa sisi wananchi hatuna haja na CHADEMA wala chama chochote cha siasa kuwa bungeni kwa mwenendo uliopo hivi sasa. CHADEMA wakiruhusu wabunge wa "kupewa" kuingia bungeni basi wajue watatambulika kama umoja wa kuweka na kukopa, period. Ajenda ya kitaifa haitawahusu tena na hatutawafuata tena.
 
Yule mama Salma Kikwete inamaana hakupita kule kusini?....simuoni ktk list yoyote hapo vipi taarifa zake?
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
Dah,huzungumzi chochote kuhusu mwanamke aliyekamata kura fake akiwa anapigania ajira yake.Wanawake waliodharirishwa wakiwa wanapigania ajira kwenye majimbo yao .Au wengine wakienguliwa wakiwa wanapigania ajira zao kwenye majimbo.

Nafikiri ni ujinga zaidi kama Chadema itawapeleka bungeni hao wabunge wa viti maalum.
 
Duuh
Katika uchaguzi mkuu huu wanawake hawakubaki nyuma kuwania nafasi za uongozi kuanzia Urais, Ubunge na Udiwani. Wapo walioibuka kidedea ba wapo walioangukia pua, na hiyo ndio democrasia.

Yafuatayo ni majina na matokeo yao kama yao kama nitakavyoya

>Ngazi ya ubunge

Walioshinda
1. Tulia Ackson (CCM) Jimbo la Mbeya Mjini
2. Ana Richard Lupembe (CCM) Jimbo la Nsimbo,
.4. Shamsia Mtamba (CUF) Jimbo la Mtwara mjini
5.Jesca Msambatavangu (CCM) Jimbo la Iringa Mjini
6.Maimuna Mtanda (CCM) Jimbo la Newala Vijijini
7. Pro. Joyce Ndalichako{CCM} Jimbo la Kasulu Mjini
8. Angelina Mabula (CCM) JImbo la Ilemela
9. Ummy Mwalimu (CCM) Jimbo la Tanga Mjini

Walioshindwa
1.Neema Stephen- Demokrasia Makini - Jimbo la Moshi Mjini
2. Fatuma Linus - Jimbo la Moshi mjini
3. Rehema Nkoha- CHADEMA- jimbo la Singida mjini
4. Hawa ghasia (CCM) Jimbo la Mtwara mjini
5. Salome Makamba (CHADEMA)JImbo la Shinyanga Mjini
6.Rhoda Kunchela (CHADEMA) Jimbo la Mpanda Mjini
7.Cessilia Ndossi(CHADEMA) Jimbo la Monduli
8. Cecilia Ndosi (CHADEMA) Jimbo la Monduli
9.Upendo Furaha Peneza (CHADEMA) Jimbo la Geita Mijini
10.Ester Bulaya (CHADEMA) Jimbo la Bunda Mjini
11.Aisha Luja (CHADEMA) Jimbo la Manyoni Mashariki
12.Grace Jekela (NCCR Mageuzi)Jimbo la Makete
13. Mwanaisha Mndeme (ACT) Jimbo la Kigamboni
14. Magreth Kyai (CHADEMA) Jimbo la Nkenge
15. Hadija Mwago (CHADEMA) JImbo la Mbagala
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
Pascal vaa mtandio wende wewe mwenye njaa , CCM ina wenyewe ,umejipeleka na njaa yako wamekupiga buti kule na bado umegeuka fisi
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
Tatizo la viti maalumu ni kwa kina mama tu ndo maana unaona mizengwe na misimamo isiyoeleweka, laiti ingekuwa na akina baba wamo nakuhakikishia chadema wangekuwa wa kwanza kupeleka majina na wangeomba waapishwe haraka, ubinafsi uliopitiliza ndo tatizo kubwa linalokimaliza chama hiki.
 
Back
Top Bottom