Pre GE2025 Wanawake wamchangia Rais Samia Milioni 120 za Fomu ya Urais. Majaliwa aongoza zoezi, asisitiza Fomu ya Urais 2025 itakuwa Moja tu

Pre GE2025 Wanawake wamchangia Rais Samia Milioni 120 za Fomu ya Urais. Majaliwa aongoza zoezi, asisitiza Fomu ya Urais 2025 itakuwa Moja tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaongoza wanawake kumchangia pesa za kuchukulia fomu Rais Samia ambapo alikuwa mgeni Rasmi.

Wanawake hao wapenzi wa Rais Samia wamemchangia Shilingi Milioni 120 Kwa Ajili ya kugharamia fomu ya Urais.

Akiongea kwenye Hafla hiyp.PM Majaliwa amesisitiza kwamba CCM itachapisha fomu 1 tuu ya Urais 🤣🤣 hivyo wengine wajiandae kupiga kampeni.

=====

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza uchangishaji wa fedha kwa ajili ya kumwezesha Rais Dkt. Samia kuchukua fomu ya kugombea urais mwaka 2025 na kusisitiza kwamba fomu ya urais kwa mgombea wa CCM itakuwa moja pekee.

Fedha hizo zimechangwa wakati wa mkutano ulioandaliwa na wanawake kwa ajili ya kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia, mazingira na afya ya mama na mtoto.

My Take
Hongera sana kina Mama kuonesha kwamba Samia anatosha zaidi ya kutosha.

Tukutane Oktoba 2025.

View: https://www.instagram.com/reel/C4WBWUJMTLS/?igsh=aGZjNnV2azN4ajcz
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaongoza wanawake kumchangia pesa za kuchukulia fomu Rais Samia ambapo alikuwa mgeni Rasmi.

Wanawake hao wapenzi wa Rais Samia wamemchangia Shilingi Milioni 120 Kwa Ajili ya kugharamia fomu ya Urais.

Akiongea kwenye Hafla hiyp.PM Majaliwa amesisitiza kwamba CCM itachapisha fomu 1 tuu ya Urais 🤣🤣 hivyo wengine wajiandae kupiga kampeni.

View: https://www.instagram.com/p/C4Vbw6jPdGT/?igsh=MXg1ZG45cG9tam5xYg==

My Take
Hongera sana kina Mama kuonesha kwamba Samia anatosha zaidi ya kutosha.

Tukutane Oktoba 2025.

Mteja ni mmoja tu sasa kuna haja gani ya kumuuzia bidhaa ambayo pia ni moja tu?
 
Hii nchi watu hawana akili,wanazo za kuvukia barabara tu. Yaani unatoa maji kisimani na kwenda kumwaga Baharini.
Nani kawachawia hawa mama zetu? UNAMCHANGIA MTU ANAEVAA SAA YA MAMILION ,KWA SAA YAKE ANACHUKUA FORM KIBAO YAANI. PUMBAFU ZAO KABISA HAO WAMAMA.
 
Back
Top Bottom