Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Je haiwezekani kuwa Kassim Majaliwa anamtengenezea Mama Samia ajali ya kisiasa? Katiba ya CCM na Maadili yake vinasemaje?Nimeona watu wamemchangia Mama Samia milioni 120 kwa ajili ya kuchukulia fomu 2025. Watu hao wanaongozwa na Kassim Majaliwa waziri mkuu wetu.
Swali langu ni Je ni halali kwa Mama Samia na wapambe wake kuanza kampeni kabla ya wakati?
Je haiwezekani kuwa Kassim Majaliwa anamtengenezea Mama Samia ajali ya kisiasa? Katiba ya CCM na Maadili yake vinasemaje?