Wanawake wamepungua sana humu. Kulikoni?

Mtoa mada ametumis tupo tumejaa tele tunazunguka majukwaa tuu
 
Haujanialika ndiyo maana siujui....
 
Hi Daby!, wadada na sisi tuko busy kutafuta maisha,maana tukiomba hela wakaka wanaita vizinga eti[emoji3] ,tumeona tujitahidi kujitafutia tu, ila tupoooo
Itueni mizigo yote kwangu sitawaangusha........
 
Ndiyo mdada mzuri acha nikukatae tu maana ungeniumiza sio kwa kusalimiwa salimiwa vile kila upitapo.

Wameacha?
Walikuwa wanafanya makusudi tuu uniache bana!
Saivi hamna hata wa kunigeukia mkaka mzuri mzuri jamani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…