financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hi Daby!, wadada na sisi tuko busy kutafuta maisha,maana tukiomba hela wakaka wanaita vizinga eti[emoji3] ,tumeona tujitahidi kujitafutia tu, ila tupoooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko hapa mimi jamaniMtoa mada anawatafuta
ITAKUWA WAME KUMBWA NA UPEPO WA KISULI SULI.Kuna hali nimeanza kuiona kwa miezi sasa humu ndani. Watoto wazuri wamepungua au mimi ndiye sikutani nao?
Hawaonekani kabisa! Sitaki kuamini wazee mnawakeep saana busy PM hadi humu hawatokei tuchit-chat. Kina nanii wote hawapo....
Please jitokezeni tunamiss uwepo wenu...raha ya mwanamke kuchekacheka na mwanaume bhana.
Mshana ana dawa yule ,sijaamini kama Mimi huyu huyu nilifanya vile[emoji3] [emoji3]
Asante kwa kunipenda uncle.
Uncle [emoji8][emoji8]
I love you too!!
I love u my uncle
Nawasalimia tuu mimi jamaniUncle [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nikupigie kabisa nimeimiss sauti yako.NimekuPM nijibu basi 😔😔
Kwa kweli sikutegemea kama hata wewe unaweza fanya vile.Mshana ana dawa yule ,sijaamini kama Mimi huyu huyu nilifanya vile[emoji3] [emoji3]
Kuna hali nimeanza kuiona kwa miezi sasa humu ndani. Watoto wazuri wamepungua au mimi ndiye sikutani nao?
Hawaonekani kabisa! Sitaki kuamini wazee mnawakeep saana busy PM hadi humu hawatokei tuchit-chat. Kina nanii wote hawapo....
Please jitokezeni tunamiss uwepo wenu...raha ya mwanamke kuchekacheka na mwanaume bhana.
Ngoja nije na zile id zangu sita za kike,
kumbe huwa kuna watu mnazichukulia serious id za kike humu JF?
😀😀Wivu utakuua kigori.Nawasalimia tuu mimi jamani
Navyokupenda mpaka moyo haufurukuti juu yako!!,si tu nimetua kwako bali nimewezeka.. nipe nafasi ufurahie uwepo wako kwenye hii dunia inayobadilika kuwa gunia!! Sema mrembo usichelewe,nipe nami nilewe.. Wivu wangu haupimiki hata sisimizi akigusa mwili wako napata uchizi..
Basi tuache tu, ila dawa ya mshanaa [emoji30] [emoji30]Kwa kweli sikutegemea kama hata wewe unaweza fanya vile.
HaswaaInna analea mapacha wetu, pole mkuu
Nakusalimia pia 😂Nawasalimia tuu mimi jamani
Hahahahahaha[emoji3][emoji3]Wivu utakuua kigori.
Ngoja nikupigie kabisa nimeimiss sauti yako.