Wanawake wanabebeshwa mengi Sana Jamani...!!

bado unajihusisha na ushirikina?
wanaume walozi mnashangaza sana poleni


wapare kwa ulozi hamjambo
 
kabisa unabahati nimefika mwishoni nimemind sana
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji87] [emoji87]


Samahani Dada Angu Sio Kusudio Langu Athee

Naomba Nisamee
 
H
kumbe humu jamvini ni km tupo labour. HAIWEZEKAN KUJAE WATOTO NAMNA HII.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji6] [emoji6]

Huu Sasa Utan Wa Ngumi

Nimevaa Shart Jeupe Sitak Kuloana Damu
 
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
 
sasa kweli ulikuwa mjinga umefumbwa....siku zzote ushirikina sio njia sahihi ni njia ya maangamizi.....umeingizwa chaka kwa kuwa uliamini ushirikina.....ungehisikitu ni maombi tu ungepeleka kwawatumishi...shida hatutaki injili tunakandioa tu tunajisahau....anyway ulipanda na kuvuna.....USHIRIKINA SIO KABISA NEVER DEAL WITH THAT WAY UMEJIFUNZA NA HAITAJIRUDIA TENA NA POLE SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…