Wanawake wanaharibika mikononi mwangu

Wanawake wanaharibika mikononi mwangu

Mwanakulipata

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2018
Posts
714
Reaction score
1,193
Habari zenu mashabiki wa Yanga, nyie wengine mtajisalimia wenyewe.

Tukienda kwenye mada husika ni kwamba kila mwanamke ninaye kutana nae anakuwa ni mtulivu kabisa yaani kwa kilugha chetu wasukuma tunaita wife material lakini akishafika kwangu tu..kadri tunavyoendelea kuw kwenye mahusiano anazidi kubadilika hapa wengi wao wanakuwa ni wapenda starehe. [emoji119]

Ningekuwa ni mtu wa starehe huenda ningesema labda basi mtu hupata wa kufanana nae lakini kijana wa watu hata kumbi za starehe mara ya mwisho kukanyaga sijui lini.

Kuna mmoja nilikuwa nae kwa muda mrefu kidogo ila nikaona anabadilikaa mwishoe nikashindwana nae tukaachana sasaivi ni kama kachangudoa flani hili neno changudoa kama nitakuwa nimewakera endeleeni kukerekwa lakini ukweli ndo huo.

Nikapata tena mwingine nae mwanzo alikuwa mstaarabu ila akabadilika vibaya mno saivi ata sijyi yukwapi

Na huyu niliyopo nae saivi namuona kabisa kishaanza kubadilikaa yaani namuonaaa anapoelekea sio kuzuri ...uzuri sisi wanaume tumegewa kipawa cha kuona mbele ya mwanamke.

Sasa sijui nakosea wapi au ukute nimechaguliwa kuteseka kidogo then mke mwema ndo aje eti jamani nisaidieni?
 
Navyojua wasukuma wengi huwa washamba washamba... Kwa hiyo unavyoanza nao utakuta unaingia na gia kubwa mno kujifanya much know na wao wanakusoma then wanaanza kujiachia.....

Halafu utakua unapenda wale mademu maharage ya mbeya unakutana nao sehemu za ajabu ajabu.....

Ushawahi tongoza demu kumbe usiku anajiuza? Basi wewe inaelekea ndio style zako....

Sorry mwana Yanga mwenzangu kama lugha yangu haina STAHA....
 
Mazingira unayokutana nao hao wapenz wako yatakua si sahihi,, ukitaka kuoa ama nia ya kuoa ukiwa nayo, mwombe Mungu mke mwema atakupa!!
 
Navyojua wasukuma wengi huwa washamba washamba... Kwa hiyo unavyoanza nao utakuta unaingia na gia kubwa mno kujifanya much know na wao wanakusoma then wanaanza kujiachia.....

Halafu utakua unapenda wale mademu maharage ya mbeya unakutana nao sehemu za ajabu ajabu.....

Ushawahi tongoza demu kumbe usiku anajiuza? Basi wewe inaelekea ndio style zako....

Sorry mwana Yanga mwenzangu kama lugha yangu haina STAHA....
Shukrani apo nimekuelewa
 
Habari zenu mashabiki wa Yanga, nyie wengine mtajisalimia wenyewe...

Tukienda kwenye mada husika..ni kwamba kila mwanamke ninaye kutana nae anakuwa ni mtulivu kabisa yaani kwa kilugha chetu wasukuma tunaita wife material lakini akishafika kwangu tu..kadri tunavyoendelea kuw kwenye mahusiano anazidi kubadilika hapa wengi wao wanakuwa ni wapenda starehe...[emoji119]

Kingine ni je, hua unachukua wanawake wenye umri gani? Kama ni early 20s hao lazima waharibike tu hakuna namna. Wanawake wa umri huo hutakiwi kudumu nao zaidi ya miezi kadhaa ili wasiharibikie mikononi mwako. Anza kuchukua wa umri wako i.e. above 30 utaona walivyotulia.
 
Back
Top Bottom