Hah bht wajua huwa tunakosa mengi sana tukijifanya kuwa ngangari!! .mtu unajua mwanao hajapata nguo ya sikukuu, badala ya kukoroma: Hivi we baba flani nakushangaa sana, mwanao hana hata boxer, we unaniuliza unipeleke wapi mie sikukuu..............we mdekee tu bana uone.......piga kitu cha....Mpenzi nashukuru unavyonijali jamani najua unanipenda ila kuna kajisehemu moyoni mwangu kameingia ukungu kidoooooogo ,,,,,,,kisha waliangush abibi wewe jilio la haja ati........... akubembeleza na kukudadisi ndo inakutoka.......... ungemnunulia Junior japo kijishati (hapa unaongezea suruali ntamvesha ile ile ya mwaka juzi- bado inamtosha) uone kama hajatoka usiku huo huo akamtafutie suti LOL
Jamani nlikuwepio................mlale salama mnaolala,