Wanawake wanajua kudeka we acha tu!

kudeka inaenda na kushawishi hivi....sauti laini..tabasamu kubwa hivi..

Kero ni kupandisha sauti au kujiliza bila sababu...
Kuna wanawake wakikulilia mwenyewe unazima zako, utatamani wawe wanalia kila mara
 
Yaan nikwel kabisaa hata mie nimelishuhudia hlo mwanamke anahtaj kuongea na mumewe, bt mwanaume anajfanya yuko busy kutafuta kaz
 
mkuu umefanya utafti wa hali ya juu. Hata mimi mpenzi wangu hufurai sana pale nnapo mjali, na hunifanyia fujo pale anapo ona nipo bz na kusoma mambo mbalimbali kwny mtndao.
 

guilty as charged....lol
 
lol...haya bana

Hah bht wajua huwa tunakosa mengi sana tukijifanya kuwa ngangari!! .mtu unajua mwanao hajapata nguo ya sikukuu, badala ya kukoroma: Hivi we baba flani nakushangaa sana, mwanao hana hata boxer, we unaniuliza unipeleke wapi mie sikukuu..............we mdekee tu bana uone.......piga kitu cha....Mpenzi nashukuru unavyonijali jamani najua unanipenda ila kuna kajisehemu moyoni mwangu kameingia ukungu kidoooooogo ,,,,,,,kisha waliangush abibi wewe jilio la haja ati........... akubembeleza na kukudadisi ndo inakutoka.......... ungemnunulia Junior japo kijishati (hapa unaongezea suruali ntamvesha ile ile ya mwaka juzi- bado inamtosha) uone kama hajatoka usiku huo huo akamtafutie suti LOL

Jamani nlikuwepio................mlale salama mnaolala,
 

khaaa...usiku mwema bidada...lol! kesho utaidadavua hii, leo nakuacha tu
 
khaaa...usiku mwema bidada...lol! kesho utaidadavua hii, leo nakuacha tu

Bibi wewe hebu niache kwa usalama aah...............wao wamejaaliwa misuli waitumie kushinda, sie sauti, macho na skills za kudeka bwana ah,
 
Reactions: bht
Bibi wewe hebu niache kwa usalama aah...............wao wamejaaliwa misuli waitumie kushinda, sie sauti, macho na skills za kudeka bwana ah,

heheeee nilidhani umeaga??

haswaa umeongea jambo la mbolea....wao na miguvu yao na sisi na sauti na maneno matamu....

Goliati na Delila....
 
mie mbona ndo nna kazi ya kudekeza! bora mmenistua nianze na mie kudeka,lol<br />
manake nafua hadi nanilii,napika, namlisha,namuogesha eh! list ndefu kwa kweli. mjini shule,ngoja nianze sasa hivi...
 
u said it all by urself...
 
mie mbona ndo nna kazi ya kudekeza! bora mmenistua nianze na mie kudeka,lol
manake nafua hadi nanilii,napika, namlisha,namuogesha eh! list ndefu kwa kweli. mjini shule,ngoja nianze sasa hivi...
psngianeni zamu..lol
 
Duh! kweli wewe ni mtambuzi...je mume naye anahitaji kudekezwa?
 
<br />
<br />
daah! Nafuu umewaeleza

Jamani mtambuzi umeoa? Namuonea wivu mkeo. Maana mijinaume mingine haiju hayo yote
imekalia kutesa tuu watoto wa watu.
 
Duh! kweli wewe ni mtambuzi...je mume naye anahitaji kudekezwa?

Swali lako nitalijibu hivi karibuni, endelea kuperuzi hapa JF..............
 
hamna cha zamu,hapa ni kudeka nalipishia miaka yote niliyomdekeza. ni ma- baby, ma-heart beat, ma hurt-burn hadi akome. mwanajamii1, inabidi nimtafute anipe kungu nimuangalie kwa jicho lwa wizi
QUOTE=bht;2440363]psngianeni zamu..lol[/QUOTE]<br />
<br />
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…