Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #281
Nyie si ndio hata dushelele mlikuwa mnaiita dudu? Ilipo kukoleza kwa utamu wake ukaanza ukiota dick.Hapana aisee hilo lichafu chafu haliwezi kunikula mm
Najiuliza tu kwa nini Mungu alimwumba mwanaume na govi, mwanamke na kisimi. Hivyo hivyo nywele kichwani na mavuzi huko chini? Ni nani alileta mtindo wa kukata na kunyoa?Nimehamia maeneo ya Ukonga siku si nyingi nikikimbia Tabata nilikokuwa nikiishi.
Kilicho nikimbiza Tabata ni kero ya wanawake pale mtaani, kila mwanamke anataka nilale nae.
Huku Ukonga nilimuonja mmoja, akaenda kumwambia mwenzake kuwa nina hazina ya maraha iliyofichika.
Mwenzake akaja, sikumnyima.
Tangu nimehamia huku tayari nimesha wagegeda tisa, na wamesha anza kupigana kwa ajili yangu.
Siri iliyoko nyuma ya pazia ni kwamba, wanafuahishwa sana na mkono wangu wa sweta.
Kwa sasa sitaki tohara, mpaka ntakapofikisha miaka sitini
Swali fikirishi sana hiliNajiuliza tu kwa nini Mungu alimwumba mwanaume na govi, mwanamke na kisimi. Hivyo hivyo nywele kichwani na mavuzi huko chini? Ni nani alileta mtindo wa kukata na kunyoa?
sinking to where?Huyu bujibuji ni great sinker, maana research yake sio ya nchi hii
Hahahaaaa bas namm siukatiMkono wa sweta mtamu asikwambie mtu...ukitoka huko njoo kwetu pia
[emoji41][emoji41][emoji41]ukitoka tabata uje huku maeneo ya kwetu utagegeda wengi pia
Yeah, wewe hupendi kugombaniwa?Hahahaaaa mkuu naww unataka kuwa nao mfuniko???
Afadhali Bujibuji kaokoka Siku hizi vibweka vimeisha, loh, MTU gani mtata hivi?Yeah, wewe hupendi kugombaniwa?
Nyie si ndio hata dushelele mlikuwa mnaiita dudu? Ilipo kukoleza kwa utamu wake ukaanza ukiota dick.
Hata hili lilikuwa Govinda utalipa tu jina zuri likisha kukula