Wanawake wananipenda kwa sababu sijatahiriwa

Wanawake wananipenda kwa sababu sijatahiriwa

Kwa usalama wa huyu mtu, Naomba vyombo vya Dola vimchunguze na kuhakika anafanyiwa operation Ondoa mkono wa sweta.... La sivyo anatuchafulia dada zetu tu na kuwapa magonjwa.
 
Nimehamia maeneo ya Ukonga siku si nyingi nikikimbia Tabata nilikokuwa nikiishi.

Kilicho nikimbiza Tabata ni kero ya wanawake pale mtaani, kila mwanamke anataka nilale nae.

Huku Ukonga nilimuonja mmoja, akaenda kumwambia mwenzake kuwa nina hazina ya maraha iliyofichika.

Mwenzake akaja, sikumnyima.

Tangu nimehamia huku tayari nimesha wagegeda tisa, na wamesha anza kupigana kwa ajili yangu.

Siri iliyoko nyuma ya pazia ni kwamba, wanafuahishwa sana na mkono wangu wa sweta.

Kwa sasa sitaki tohara, mpaka ntakapofikisha miaka sitini
Penny Money Penny njoo huku yu
 
Nimehamia maeneo ya Ukonga siku si nyingi nikikimbia Tabata nilikokuwa nikiishi.

Kilicho nikimbiza Tabata ni kero ya wanawake pale mtaani, kila mwanamke anataka nilale nae.

Huku Ukonga nilimuonja mmoja, akaenda kumwambia mwenzake kuwa nina hazina ya maraha iliyofichika.

Mwenzake akaja, sikumnyima.

Tangu nimehamia huku tayari nimesha wagegeda tisa, na wamesha anza kupigana kwa ajili yangu.

Siri iliyoko nyuma ya pazia ni kwamba, wanafuahishwa sana na mkono wangu wa sweta.

Kwa sasa sitaki tohara, mpaka ntakapofikisha miaka sitini
Acha tu nicheke,
 
Bujibuji,ina Maana yule mdada mzuri mzuri anayenyoa kipara alikuwa anaulalia mkono wa sweta?
Ndio Mali yake, halafu hataki uondolewe. Mkigombana wee mwambie naenda kulikata hili lilikuwa mkono lako la sweta. Ugomvi unaishi sekunde hiyohiyo
 
Wee tupange usiku mmoja tu, tuone kama hujaanza kuzungusha picha yangu kwa waganga na manabii ili niwe wako peke yako
Hapana aisee hilo lichafu chafu haliwezi kunikula mm
 
Back
Top Bottom