Na kila kabila lililotembelewa na waarabu nao hutahiriwa . Kazi kweli sasa sisi weusi asili yetu ni nini.Watahiriwe uhondo upungue?
Ndio maana kila kabila linalojidai liko kizungu zaidi hawatahiri
Hahhahaaaaaaa
Hivi mi siwezi ku UN-DO nirudishe govi?
Nimehamia maeneo ya Ukonga siku si nyingi nikikimbia Tabata nilikokuwa nikiishi.
Kilicho nikimbiza Tabata ni kero ya wanawake pale mtaani, kila mwanamke anataka nilale nae.
Huku Ukonga nilimuonja mmoja, akaenda kumwambia mwenzake kuwa nina hazina ya maraha iliyofichika.
Mwenzake akaja, sikumnyima.
Tangu nimehamia huku tayari nimesha wagegeda tisa, na wamesha anza kupigana kwa ajili yangu.
Siri iliyoko nyuma ya pazia ni kwamba, wanafuahishwa sana na mkono wangu wa sweta.
Kwa sasa sitaki tohara, mpaka ntakapofikisha miaka sitini
Ablessed kama hajauliwa Ukonga,Tabata si ndo tuje tumuue.......,Mtamuua jamani hebu muoneeni huruma.
Ngoja niwaulize ma specialist wa Kichina, maana wale hawashindwi kitu, wanadawa za kila aina. Walimpa dawa ya mifugo jamaa , kuku wake wanatotoa ng'ombe
wacha bwana!!!!....mbona kampeni za kuvua mkono sweta zinavyoendelea hamzipingi? au mnataka wabaki wachache muwe mnawagombania?
Wewe ni "natural man"...yani kama kukata umekata kucha na nywele na bado huwa zinaota....hongera mkuu mie hata sijui nilizaliwaje?...i missed ki-govi changu..ningekuwa nacho nami ningewala kama wewe...ahahaha sukari ya warembooooo
Mi nachukia sana hizo kampeni za kukata mikono,
inatakiwa wanawake tuulizwe kwanza tunaitaka au itokomezwe make sisi ndo watumiaji wenyewe!!!!!
Wewe ni "natural man"...yani kama kukata umekata kucha na nywele na bado huwa zinaota....hongera mkuu mie hata sijui nilizaliwaje?...i missed ki-govi changu..ningekuwa nacho nami ningewala kama wewe...ahahaha sukari ya warembooooo
Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani kuwa nyie ndio watumiaji...lakini utachagua nini kati ya haya.....1. kutumia kitu ambacho kitakupunguzia chance ya kupata maambukizi ya VVU/UKIMWI kwa asilimia 60 AU 2. Kutumia kinachokuweka katika mazingira hatarishi ya kupata VVU/UKIMWI?
Heaven on earthSukari ya warembo nae ana mkono wa sweta nini
maana wadada wanamgombania sana kama Bujibuji
md4doctor2000 mi damu yangu ni ngoma proofMale circumcision is proven to confer 60% protective effect in reducing risk of female-to-male HIV transmission! Bujibuji for NOT being circumcised you are more at risk than other circumcised men! Take care my brother!
Evelyn Salt umenifurahisha sana.....Mi nachukia sana hizo kampeni za kukata mikono,
inatakiwa wanawake tuulizwe kwanza tunaitaka au itokomezwe make sisi ndo watumiaji wenyewe!!!!!