Wanawake wananipenda kwa sababu sijatahiriwa

Wanawake wananipenda kwa sababu sijatahiriwa

Bujibuji angalia tusije kukupoteza mkuu! kuna mkoa nimepewa taarifa juzijuzi kuwa watu wenye mikono ya sweta wanahitajika sana tena kwa udi na uvumba kwa ajili ya maswala ya kuletea watu utajiri,wanachohitaji ni hiyo kitu yako,mi nimeshtuka nilipoona unapata mialiko mingi nikagundua kuwa upo hatarini kutoweka,so be careful!:ballchain:
 
Nimehamia maeneo ya Ukonga siku si nyingi nikikimbia Tabata nilikokuwa nikiishi.
Kilicho nikimbiza Tabata ni kero ya wanawake pale mtaani, kila mwanamke anataka nilale nae.
Huku Ukonga nilimuonja mmoja, akaenda kumwambia mwenzake kuwa nina hazina ya maraha iliyofichika.
Mwenzake akaja, sikumnyima.
Tangu nimehamia huku tayari nimesha wagegeda tisa, na wamesha anza kupigana kwa ajili yangu.
Siri iliyoko nyuma ya pazia ni kwamba, wanafuahishwa sana na mkono wangu wa sweta.
Kwa sasa sitaki tohara, mpaka ntakapofikisha miaka sitini

Govi si linasugua vizuri kisi.mi ila hapo kupata ngoma nje nje.
 
Male circumcision is proven to confer 60% protective effect in reducing risk of female-to-male HIV transmission! Bujibuji for NOT being circumcised you are more at risk than other circumcised men! Take care my brother!
 
Last edited by a moderator:
wacha bwana!!!!....mbona kampeni za kuvua mkono sweta zinavyoendelea hamzipingi? au mnataka wabaki wachache muwe mnawagombania?

Mi nachukia sana hizo kampeni za kukata mikono,
inatakiwa wanawake tuulizwe kwanza tunaitaka au itokomezwe make sisi ndo watumiaji wenyewe!!!!!
 
Wewe ni "natural man"...yani kama kukata umekata kucha na nywele na bado huwa zinaota....hongera mkuu mie hata sijui nilizaliwaje?...i missed ki-govi changu..ningekuwa nacho nami ningewala kama wewe...ahahaha sukari ya warembooooo

Sukari ya warembo nae ana mkono wa sweta nini
maana wadada wanamgombania sana kama Bujibuji
 
Last edited by a moderator:
Mi nachukia sana hizo kampeni za kukata mikono,
inatakiwa wanawake tuulizwe kwanza tunaitaka au itokomezwe make sisi ndo watumiaji wenyewe!!!!!

Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani kuwa nyie ndio watumiaji...lakini utachagua nini kati ya haya.....1. kutumia kitu ambacho kitakupunguzia chance ya kupata maambukizi ya VVU/UKIMWI kwa asilimia 60 AU 2. Kutumia kinachokuweka katika mazingira hatarishi ya kupata VVU/UKIMWI?
 
Wewe ni "natural man"...yani kama kukata umekata kucha na nywele na bado huwa zinaota....hongera mkuu mie hata sijui nilizaliwaje?...i missed ki-govi changu..ningekuwa nacho nami ningewala kama wewe...ahahaha sukari ya warembooooo

Ha ha ha ha ha.........
 
Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani kuwa nyie ndio watumiaji...lakini utachagua nini kati ya haya.....1. kutumia kitu ambacho kitakupunguzia chance ya kupata maambukizi ya VVU/UKIMWI kwa asilimia 60 AU 2. Kutumia kinachokuweka katika mazingira hatarishi ya kupata VVU/UKIMWI?

Kwa utam wa kigo.vi nipo tayari kuishi mazingira hatarishi........
 
Back
Top Bottom