Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
A skirt should be long enough to cover the subject but short enough to create interest!Samahani kwa kutumia lugha kali kidogo.
Nimetembea Mikoa mingi hapa nchini, na kila nikienda benki yoyote utakutana na wahudumu wanawake waliovalia nguo fupi zilizowabana maeneo muhimu.
Unakuta mpaka mkanda wa chupi unaonekana. Hata nundu iliyonona unaiona pale mbele ikiwa imevimba.
Ni lazima kuvaa nguo fupi zilizobana?
Labda macho yangu huwa yana makengeza
acha kabisa,pale idara ya maji songea mjini kuna dada anaitwa diana mkalimoto, aisee ana skirt flani hivi fupi ya rangi ya kijivu,akiitupiaga na shat flani ivi la blue ni noma,halaf ana lile jicho kama la rais wa Croatia,mungu fundi aisee,dada kama huyu avae dela la nini????Samahani kwa kutumia lugha kali kidogo.
Nimetembea Mikoa mingi hapa nchini, na kila nikienda benki yoyote utakutana na wahudumu wanawake waliovalia nguo fupi zilizowabana maeneo muhimu.
Unakuta mpaka mkanda wa chupi unaonekana. Hata nundu iliyonona unaiona pale mbele ikiwa imevimba.
Ni lazima kuvaa nguo fupi zilizobana?
Labda macho yangu huwa yana makengeza
acha kabisa,pale idara ya maji songea mjini kuna dada anaitwa diana mkalimoto, aisee ana skirt flani hivi fupi ya rangi ya kijivu,akiitupiaga na shat flani ivi la blue ni noma,halaf ana lile jicho kama la rais wa Croatia,mungu fundi aisee,dada kama huyu avae dela la nini????
Niliwahi kumuuliza mwanadada wa Bank kasema ile dress cord yao! so ukawa na hamu yakuona vimando choma ndani ya bankSamahani kwa kutumia lugha kali kidogo.
Nimetembea Mikoa mingi hapa nchini, na kila nikienda benki yoyote utakutana na wahudumu wanawake waliovalia nguo fupi zilizowabana maeneo muhimu.
Unakuta mpaka mkanda wa chupi unaonekana. Hata nundu iliyonona unaiona pale mbele ikiwa imevimba.
Ni lazima kuvaa nguo fupi zilizobana?
Labda macho yangu huwa yana makengeza
Tangu lini macho yakawa na paziaHuo muda wa kuwaangalia unapata wapi ,wakati umeenda kufanya miamala ya uhakika watu wanasubiri pesa iingie maisha yaendelee..
sijamkashifu mkuu,yule dada ni mzuri,hivi unawajua vzuri wazuri???Kama watu wanafanyaga reference za ikulu wanataja na majina tena ktk maudhui ya kukashifu na kutukana nielewe mzee,huyu dada ni mzuri balaaa,kuna mwingine ni nesi peramiho hospitali nitakwambia anaitwa nani baadaeMkuu mbona unamtamka mtu kinagaubaga kiasi hicho? Humu huwa tunatumia lugha ya kificho kidogo unapofanya reference km hizo,si vema unataja jina,eneo na wajihi wake kabisa.
Yeah! Hajamtendea haki hata kidogo hii si sawa hata kidogo Aache siku nyingineMkuu mbona unamtamka mtu kinagaubaga kiasi hicho? Humu huwa tunatumia lugha ya kificho kidogo unapofanya reference km hizo,si vema unataja jina,eneo na wajihi wake kabisa.