Wanawake wanaofanya kazi benki ni lazima wavae nguo fupi zilizobana mapaja na makalio?

Wanawake wanaofanya kazi benki ni lazima wavae nguo fupi zilizobana mapaja na makalio?

hahahaaaaaaa, kweli ww ni dindira
Huyu hapa
1542871375764.png
1542871375764.png
1542871375764.png
 
Mkuu mbona unamtamka mtu kinagaubaga kiasi hicho? Humu huwa tunatumia lugha ya kificho kidogo unapofanya reference km hizo,si vema unataja jina,eneo na wajihi wake kabisa.
Inaonekana wewe ndo diana mkalimoto, unajipigia debe
 
acha kabisa,pale idara ya maji songea mjini kuna dada anaitwa diana mkalimoto, aisee ana skirt flani hivi fupi ya rangi ya kijivu,akiitupiaga na shat flani ivi la blue ni noma,halaf ana lile jicho kama la rais wa Croatia,mungu fundi aisee,dada kama huyu avae dela la nini????
unazo namba zake unitupie mkuu?
 
Huo muda wa kuwaangalia unapata wapi ,wakati umeenda kufanya miamala ya uhakika watu wanasubiri pesa iingie maisha yaendelee..
Ukiwa na vihela vidogo lazima uangalie angalie..Lakini ukiwa na pesa zako nilichukua na kuondoka
 
Back
Top Bottom