Wanawake wanaongoza kwa kulia kwenye msiba

Ndaga fijoo
 
Hapo Nimekuelewa kumbe vile vilio sio tu uchungu wa kupoteza ndugu bali kuna uchungu mwingine mnafikilia kwa wakati 1

Inawezekana muulize mama yako au bibi yako kwa nini mwanamke akifiwa na mtoto huwa anafungwa khanga kwa nguvu tumboni? Au wengine unakuta wanashika tumbo?
 
Hao wakiambiwa taarifa ya msiba wanavalia taiti kabisa maana wanajua show wanayoenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ni ajira kabisa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…