Wanawake wanaonuna nuna mnawawezaje wenzangu?

Wanawake wanaonuna nuna mnawawezaje wenzangu?

The bump

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2019
Posts
1,488
Reaction score
2,908
Kuna mpenzi halafu kuna mpenzi wangu mimi, hivi wanaume naombeni mnisaidie huwa mna deal vipi na wanawake wenye kununa nuna bila haata sababu.

Wivu sawa ila minuno sasa imezidi, unaweza tu shangaa kanuna alichonunia huelewi wenzangu mnafanyaje..

Ukweli kubembeleza naweza ila kumbembeleza mtu kila siku na sijui shida ake nn naona nmeshindwa.

Hadi imefika hatua nmehisi au mimba ndo inafanyaga watu wawe hivi maana hii ni too much, wababa hebu nisaidieni huwa mnafanyaje hizi hali kuweka mambo sawa?

Binafsi yamenishinda ninavyoandika hapa ndo nishaamua kumwacha kiufupi simtaki tena, kanuna na sijui kanuna nini nmeondoka nimemwacha hapo na mnuno wake.
 
Mdogo wangu nikushauri tu kama una hasira mbaya na kali kama zangu ni bora umuache kweupe na usiseme naye kwa kweli mimi mwanamke anayenuna nuna awe jirani, au ndugu huwa siongeagi kabisa nabaki tu kuwa bubu maana najua ninaweza kumtukana au kumpiga vibaya mpaka kumjeruhi nikajiletea shida mimi mwenyewe.

N.b kabla ya kuingia kwenye mahusiano na mwanamke jifunze kumsoma kwanza jinsi alivyo 🙂🙂
 
Mdogo wangu nikushauri tu kama una hasira mbaya na kali kama zangu ni bora umuache kweupe na usiseme naye kwa kweli mimi mwanamke anayenuna nuna awe jirani, au ndugu huwa siongeagi kabisa nabaki tu kuwa bubu maana najua ninaweza kumtukana au kumpiga vibaya mpaka kumjeruhi nikajiletea shida mimi mwenyewe.

N.b kabla ya kuingia kwenye mahusiano na mwanamke jifunze kumsoma kwanza jinsi alivyo 🙂🙂
Kweli,ila mwanzoni kabla ya kumpata hakua akinuna nuna.
 
Kuna mpenzi halafu kuna mpenzi wangu mimi, hivi wanaume naombeni mnisaidie huwa mna deal vipi na wanawake wenye kununa nuna bila haata sababu.

Wivu sawa ila minuno sasa imezidi, unaweza tu shangaa kanuna alichonunia huelewi wenzangu mnafanyaje..

Ukweli kubembeleza naweza ila kumbembeleza mtu kila siku na sijui shida ake nn naona nmeshindwa.

Hadi imefika hatua nmehisi au mimba ndo inafanyaga watu wawe hivi maana hii ni too much, wababa hebu nisaidieni huwa mnafanyaje hizi hali kuweka mambo sawa?

Binafsi yamenishinda ninavyoandika hapa ndo nishaamua kumwacha kiufupi simtaki tena, kanuna na sijui kanuna nini nmeondoka nimemwacha hapo na mnuno wake.
Laleni bana
 
Back
Top Bottom