Wanawake wanaonuna nuna mnawawezaje wenzangu?

Nishamuacha,kitachonirudsha kwake ni labda nisikie ana Ujauzito na ile minuno ilikua inasababishwa na ule ujauzito.

Tofauti na hapo akwende mwana kwenda,sina muda na drama za mapenzi mambo ni mengi ya kushughulikia.
Hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…