Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 1,143
- 2,475
Kwa uzoefu wng huyo kuna njia anaitafuta ili akutawale at last utajikuta umegombana na watu wako wote ndugu, jamaa, marafk ikbd mpk wazazi wako then unajikuta upo na yeye tu, hapo ndpo utajikuta anakupangia mpk muda wa kurud home, utaanza fanyshwa kaz za home. Huo mnuno anataka umuite umuulize ksha akwambie tatzo nn usishangae akakwambia mi spend unavyochelewa kurudi we hunipendi, au siwapend marafk zako ndo wanakupotosha nk nk vitu easy tu bt nyuma yake vimebeba mambo mengne kbs akikwambia hayo ukijchanganya ukasema umemuelewa utajrekebsha at last ataongeza mengne mpk afkie lengo bt kwa style tofauti ya kununa au nyngnezo take care narudia tena take care na pengne alishakusoma akakujua hli nalo n kosa kiufundi hutakiwa kutabirika mi mwanamke wng mambo yng meng hayajui hata ya ndugu zng hajui na staruhusu hlo.