Wanawake wanaonuna nuna mnawawezaje wenzangu?

Wanawake wanaonuna nuna mnawawezaje wenzangu?

MKuu mimi kufanya hiyo kitu na bubu siwezi
Ni complicated. Wakati fulani unalazimika kutumia mbinu mbadala ili uweze kumbadilisha mtu (mawazo yake) huna budi kufanya hivo otherwise kubaliana na matokeo. Assume ni mkeo ingekuwaje?

BTW chuma kikimkolea yy mwenyewe atafunguka hususan ukimkuna koki zikafunguka~ huwa (baadhi yao) wanafikia hatua ya kutomba radhi wakati mtanange ukiendelea hasa kama unamchapa nao kwa mtindo huo wa kutoa kama adhabu inayoambatana na onyo.
 
Weka standard zako kabla ya kuingia katika mahusiano na visimamie...Pia usitake kueleweka Kila mara akinuna kuwa busy kufanya mambo ya maendeleo yaani taratibu tu ataelewaa vitu usivopenda na kujirekebisha kama ni mtu muelewa
 
Me huwa nawashangaa na kuwasikitikia wanaume wanaoangaika na mikongo, Viagra n.k Ili tu wawaridhishe wanawake hapo bado yeye ndo anamlisha na kumuhudumia...

Aheri ata basi angekuwa mshangazi anaekulea na kukulisha apo sawa
 
Yan upendo siku hizi unaonyeshwa kwa kununa? Ok sawa ehee nofundishe basi akinuna unamfanyaje, unamwambia i love you too

[emoji2][emoji2][emoji2] ukute anafumafuma vimeseji huko… Hakuna mtu ananuna bila sababu… kila mtu na namna yake kufikisha ujumbe

Ndio tupo hivyo sema tunatofautiana namna ya kununa wenginee tunanuna dakika 2 wenginee miezi so wewe mpotezee atakwambia tu nini amenuna
 
[emoji2][emoji2][emoji2] ukute anafumafuma vimeseji huko… Hakuna mtu ananuna bila sababu… kila mtu na namna yake kufikisha ujumbe

Ndio tupo hivyo sema tunatofautiana namna ya kununa wenginee tunanuna dakika 2 wenginee miezi so wewe mpotezee atakwambia tu nini amenuna
Heri mtu aseme basi japo sina hizo tabia na simu yangu hawezi access hata kwa bahat mbaya, n tabia yake tu hajaanza leo wala jana mwanzo nlijua nakosea nikajitahd kuwa mtakatifu ilibaki kdg niwe namsalimia shkamoo mpenzi wangu, ila bado hatumalizi masaa 48 hajavuta mdomo
 
Epuka kukaa nae mda mwingi asubuhi ondoka Rudi saa tatu au nne ukirudi kula oga mpige viwili vitatu piga usingizi asubuhi mshtue ingia kambani Moja bila tembea mbele iwe ratiba yako
Sikao nae kabisa hadi nikahisi au hii nayo ni sababu anataka nikae nae ila hawez sema
 
Heri mtu aseme basi japo sina hizo tabia na simu yangu hawezi access hata kwa bahat mbaya, n tabia yake tu hajaanza leo wala jana mwanzo nlijua nakosea nikajitahd kuwa mtakatifu ilibaki kdg niwe namsalimia shkamoo mpenzi wangu, ila bado hatumalizi masaa 48 hajavuta mdomo

[emoji16][emoji16] Mimi sina kingine cha kukushauri yangu pia yamenishinda
 
Asante mkuu na kweli sina furaha na huyu mwanamke mahusiano asilimia 80% ninkubembelezana kosa hamna..

Sijawahi furahia mahusiano kwa mfululizo hata mwezi mzima sijawahi..
Why too harsh on her.?
Mpe muda zaidi…
 
ni nyege tu hakuna lolote.. amekosa intimacy na wewe thats why so the only solution nikufanya naye sex mara kwa mara.
 
Kuna mpenzi halafu kuna mpenzi wangu mimi, hivi wanaume naombeni mnisaidie huwa mna deal vipi na wanawake wenye kununa nuna bila haata sababu.

Wivu sawa ila minuno sasa imezidi, unaweza tu shangaa kanuna alichonunia huelewi wenzangu mnafanyaje..

Ukweli kubembeleza naweza ila kumbembeleza mtu kila siku na sijui shida ake nn naona nmeshindwa.

Hadi imefika hatua nmehisi au mimba ndo inafanyaga watu wawe hivi maana hii ni too much, wababa hebu nisaidieni huwa mnafanyaje hizi hali kuweka mambo sawa?

Binafsi yamenishinda ninavyoandika hapa ndo nishaamua kumwacha kiufupi simtaki tena, kanuna na sijui kanuna nini nmeondoka nimemwacha hapo na mnuno wake.
kama sio mimba, humkunji sawa sawa
 
Ntajuaje sasa jaman, nmehisi hilo nikawa namwambia twende hospital ukacheki KAKATAAA...

NIKAMWAMBIA basi nikununulie kipimo upime akasema hataki presha...

Hivi unamwelewaje huyu
Au humfikishi mlima kilamanjaro ???? Ukute unaishia kitonga ? Hela unampa ?
 
Back
Top Bottom