Sisi wanaume tunawapenda wote, wabaya na wazuri.Wasichana wanapenda mahandsome!
Wooozaa ukiniona utalia maana mimi ni mgumu hadi nakosa ukaribu na watu.Vipaumbele vimetofautiana,mie napenda wanaume wagumu, sipendi handsome boy wana mambo ya kike kike hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Big No.Uhendsamu bila hela ni bure, ndo maana wadada wanawaacha mahendisamu wanaenda kuolewa na wazee au wenye sura ngumu kwasababu wana mihelaaaa.
Exactly,,Wanaopinga ujue wana sura private/personal.Wasichana wanapenda mahandsome!
Uhendsamu bila hela ni bure, ndo maana wadada wanawaacha mahendisamu wanaenda kuolewa na wazee au wenye sura ngumu kwasababu wana mihelaaaa.
FreshBig No.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni PM namba yako, nikutumie hela ya thoda ukatulize kiu kwa mangi [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Chekachake tu hapo na umeambiwa utume namba.[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni echu aikatox.Fresh
Nimeshatuma tayariChekachake tu hapo na umeambiwa utume namba.
Wooozaa ukiniona utalia maana mimi ni mgumu hadi nakosa ukaribu na watu.
Hili nalo neno.pointMi nahisi kila mtu huwa anajiona mzuri...hata yule mweny sura mbaya ujiona mzuri,,,sasa wabaya watajijua vp