Wanawake wanapenda ma handsome

Wanawake wanapenda ma handsome

Uhandsome ni moja ya sifa kati ya sifa chunguzima, kwahiyo km ww ni handsome jitahitahidi kuongeza sifa zingine km vile utafutaji pesa,mazoezi[kuwa na mwili wa kiume], mipango ya mda mfupi na ya mda mrefu mpenda maendeleo pamoja na kujua kutulia kwa yule umpendae[ubavu wako] kiujumla sifa ni nyingi mnoo.. uhandsome tu hautoshi.
Kakole,
Hizo ulizo orodhesha ni sifa ambazo mtu ataziona akisha kuwa kwenye mahusiano tayari.

Mjadala unazungumzia 'mvuto' (attraction). Ladies are mostly attracted to good looking men. This is primary. Then those factors that you mentioned earlier are secondary. I hope you're with me.
 
Hakuna mwanamke anapenda mwanaume ambaye sio handsome.Kama mnakumbuka mke wa Farao aliambiwa na wanawake wengine anawezaje kumwacha Yusufu hivi hivi bila kumlazimisha wafanye mapenzi.

Just imagine mdada anajikata mpaka na kisu akiwa anamwangalia yusufu kwa uzuri aaliokuwa nao yusufu. Akamlazimisha yusufu kamkimbia dakika ya mwisho kabisa akaamua kumgeuzia kibao kwamba yusufu alitaka kumbaka.

Kinachoshangaza mwanamke na yeye hachelewi kukupoteza hata Kama akikupenda sana hilo sote tulijue na ndo maana tumeagizwa tukae nao kwa akili.lakini pia mkae mkijua hawezi kukupenda Kama wewe sio handsome labda uwe na pesa.

Huu ndo ukweli mchungu wanaume wenye sura ngumu sana mnisamehe baba zangu. Nasikia wengine mnasema kuwa wadada wanavutiwa na wanaume wenye sura mbaya za kikauzu.

Huku Ni kujitia tu moyo, tumeona mfano wa mke wa Farao alikuwa hampendi mumewe anamuona kama mzee mzee.

Hizi simulizi za kwenye vitabu vya dini Ni za kweli kabisa zimetokea karne nyingi zamani lakini hata Sasa mambo Ni Yale Yale huwa yanajirudia tu.
Wamarekani wanasema “ Ain’t such a thing as broke and handsome “
 
Huu utafiti wako umeufanya kwa kuangalia couples ngapi kwa mfano mpaka ukahitimisha kwa hata unayo yasema?!!!
Anza leo kuangalia au anza na wewe mwenyewe kama sura yako iko vipi na pia linganisha mkeo kama umeoa yupo vipi kama hujaoa fanya tu sampling i.e kwa watu unaowajua au hata kwenye social media halafu ulete mrejesho
 
Ukweli mchungu ila ndo ivo,

Tatizo handsome siku hizi nao wanapigwa nyuma ndo shidah,

Bora handsome uwe na sura ya kiume ila noma sana ukiwa na sura ya kike,
 
Anza leo kuangalia au anza na wewe mwenyewe kama sura yako iko vipi na pia linganisha mkeo kama umeoa yupo vipi kama hujaoa fanya tu sampling i.e kwa watu unaowajua au hata kwenye social media halafu ulete mrejesho
Nikijiangalia Mimi na nimeoa,naona you are very wrong. Ingawa case yangu pekee sio conclusion.
 
Nikijiangalia Mimi na nimeoa,naona you are very wrong. Ingawa case yangu pekee sio conclusion.
Sasa to every general rule there is an exception..pia sio rahisi kwa wewe kuthibitisha maana inawezekana nikawa niko right sema hutaki ku admit unless ningekua nakufahamu personally
 
Back
Top Bottom