Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwanaume awe na akili tu kifupi awe anajielewa
Hayo mengine tutavumiliana
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀wasiopenda hela wote mikono juu maana mie napenda balaa naweza hata fia ndani ya wallet
Siyo lazima,,,, ajielewe kwanza.
Siyo lazima,,,, ajielewe kwanza.
Maana kuna wanaume huwa akili zao sizielewi
Chansi ya pili ndiyo ipi mkuu?
Hahahaha😀😀😀😀
Hoja zako ni madhubuti sana japo jamaa wanakwepesh kwepesha tu
Yaan hutapata shida sura kama ya babu yako ndio nazipenda mimi
Huu utafiti wako umeufanya kwa kuangalia couples ngapi kwa mfano mpaka ukahitimisha kwa hata unayo yasema?!!!Kikawaida wanaume ma handsome hua na wanawake wabovu
Hata wewe pia?!!Tunaopenda sura ngumu tunaruhusiwa kucomment mkuu
Kakole,Uhandsome ni moja ya sifa kati ya sifa chunguzima, kwahiyo km ww ni handsome jitahitahidi kuongeza sifa zingine km vile utafutaji pesa,mazoezi[kuwa na mwili wa kiume], mipango ya mda mfupi na ya mda mrefu mpenda maendeleo pamoja na kujua kutulia kwa yule umpendae[ubavu wako] kiujumla sifa ni nyingi mnoo.. uhandsome tu hautoshi.
Thank you for being honest Mrs Van. I am sure Mr Van is proud of you.Japo uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu. Sura ngumu mie hapana loooh.
Wamarekani wanasema “ Ain’t such a thing as broke and handsome “Hakuna mwanamke anapenda mwanaume ambaye sio handsome.Kama mnakumbuka mke wa Farao aliambiwa na wanawake wengine anawezaje kumwacha Yusufu hivi hivi bila kumlazimisha wafanye mapenzi.
Just imagine mdada anajikata mpaka na kisu akiwa anamwangalia yusufu kwa uzuri aaliokuwa nao yusufu. Akamlazimisha yusufu kamkimbia dakika ya mwisho kabisa akaamua kumgeuzia kibao kwamba yusufu alitaka kumbaka.
Kinachoshangaza mwanamke na yeye hachelewi kukupoteza hata Kama akikupenda sana hilo sote tulijue na ndo maana tumeagizwa tukae nao kwa akili.lakini pia mkae mkijua hawezi kukupenda Kama wewe sio handsome labda uwe na pesa.
Huu ndo ukweli mchungu wanaume wenye sura ngumu sana mnisamehe baba zangu. Nasikia wengine mnasema kuwa wadada wanavutiwa na wanaume wenye sura mbaya za kikauzu.
Huku Ni kujitia tu moyo, tumeona mfano wa mke wa Farao alikuwa hampendi mumewe anamuona kama mzee mzee.
Hizi simulizi za kwenye vitabu vya dini Ni za kweli kabisa zimetokea karne nyingi zamani lakini hata Sasa mambo Ni Yale Yale huwa yanajirudia tu.
Hata mm pia jamani [emoji85][emoji85][emoji85]Hata wewe pia?!!
Anza leo kuangalia au anza na wewe mwenyewe kama sura yako iko vipi na pia linganisha mkeo kama umeoa yupo vipi kama hujaoa fanya tu sampling i.e kwa watu unaowajua au hata kwenye social media halafu ulete mrejeshoHuu utafiti wako umeufanya kwa kuangalia couples ngapi kwa mfano mpaka ukahitimisha kwa hata unayo yasema?!!!
Nikijiangalia Mimi na nimeoa,naona you are very wrong. Ingawa case yangu pekee sio conclusion.Anza leo kuangalia au anza na wewe mwenyewe kama sura yako iko vipi na pia linganisha mkeo kama umeoa yupo vipi kama hujaoa fanya tu sampling i.e kwa watu unaowajua au hata kwenye social media halafu ulete mrejesho
Sasa to every general rule there is an exception..pia sio rahisi kwa wewe kuthibitisha maana inawezekana nikawa niko right sema hutaki ku admit unless ningekua nakufahamu personallyNikijiangalia Mimi na nimeoa,naona you are very wrong. Ingawa case yangu pekee sio conclusion.