begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
Mngelikua mnatupa abc za mnayopenda kufanyiwa, mngeturahishia kudeal nanyi.lazima tusifiwe sisi ni maua jamani
Hupendi kusifiwa bt kuna abc za unayoyapenda, hivo ukimweleza mwanaume wako utamrahishia sana kudeal nawe.Sipendi kusifiwa...naonaga kama sifa=kuchorana=kujazana ujinga
Nilisahau kumbe mimi wa kiume
leo kila mdahalo we ndo wakwanza tutakula kweli leo...😂Wamekusikia
😅😅😅leo kila mdahalo we ndo wakwanza tutakula kweli leo...😂
Mtu inabidi afind out kitu gani akimfanyia mwanamke wake anafeel the whole world on him,.Ujue wanawake mngekua wepesi kushare abc kuwahusu, mahusiano yangekua mepesi sana.
Usicheke we niambie tu nijue kama vipi nikale magengeni maana mke mwenyewe leo ndo limekupanda lakwenu..😅
Usiogope nafanya yote haya nikiwa jikoni😅Usicheke we niambie tu nijue kama vipi nikale magengeni maana mke mwenyewe leo ndo limekupanda lakwenu..😅
Wewe ni mwanamke mrembo na mzuri sana Leejay49Wamekusikia
Sawa..Usiogope nafanya yote haya nikiwa jikoni😅
Safi.Sipendi kusifiwa...naonaga kama sifa=kuchorana=kujazana ujinga
Nilisahau kumbe mimi wa kiume
Tangu lini Wewe umekua wa kiume? Ebu tupumzishe basiSipendi kusifiwa...naonaga kama sifa=kuchorana=kujazana ujinga
Nilisahau kumbe mimi wa kiume
Huo ndo ukweli wanguWeee sema kweli🤩🤩
Au ndo umeanza kunisifia hapahapa😬😅
ThanksHuo ndo ukweli wangu
Nakusifia moyoni na hadharani pia
KWEMA LAKINI MPENDWA
Za kwangu njema/salama kabisa
KARIBU
Tangu lini Wewe umekua wa kiume? Ebu tupumzishe basi