Si ndo nataka nijue kipi kilipelekea mpk presha kukupanda namna hiyo Sema ili tujifunze tusiwapandishe presha hiyo waume zetuWewe ulitaka nife kwa pressure? Mbona hausikitiki kuona kabla ya kuhamia kwa mchepuko pressure yangu ilikuwa inasoma 180 kwa 120?
Kelele za kila siku ndani ya nyumba, mwanaume unatoka kazini umechoka unafika nyumbani mwanamke hayupo akirudi na kumuuliza alikuwa wapi anakuijia juu...mwanamke hajui mme umekula ama haujala yeye kutwa mguu na njia, mwanamke tamaa kila anachokiona hataki kimpite, ana madeni kwenye vicoba zaidi ya kumi.Si ndo nataka nijue kipi kilipelekea mpk presha kukupanda namna hiyo Sema ili tujifunze tusiwapandishe presha hiyo waume zetu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kweli?? Mkiwaga mnaomba tamu mnakuwaga watakatifu nyie loh!!
In short wanawake wengi wanakiuka marriage ethics. ..na hapa ndipo kunapelekea michepuko yenye kulilia ndoa ipate nafasi, ukimkuta mchepuko aliyekuwa akitafuta mume na aliyefundwa lazima mwanaume uhamie. Nani anayependa kuungua na jua wkt kuna kivuli?Si ndo nataka nijue kipi kilipelekea mpk presha kukupanda namna hiyo Sema ili tujifunze tusiwapandishe presha hiyo waume zetu
Alikuwa pasua kichwa si wote tupo ivo lkn tuna kasumba ya kujisahau tukiwekwaga ndani hili ni tatizo kubwa wachache sana wasiokuwa na hiyo shida, hata huo mchepuko upo ivo kwasababu unajua ni mchepuko subiri uurasimishe ni yaleyale km mkeo tuKelele za kila siku ndani ya nyumba, mwanaume unatoka kazini umechoka unafika nyumbani mwanamke hayupo akirudi na kumuuliza alikuwa wapi anakuijia juu...mwanamke hajui mme umekula ama haujala yeye kutwa mguu na njia, mwanamke tamaa kila anachokiona hataki kimpite, ana madeni kwenye vicoba zaidi ya kumi.
Naona unataka kunitema kijanja.Ndo maana sometimes naunga mkono mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja coz wale wake wataishi na wewe kimashindano hivyo kupelekea wewe kuwa na furaha
Ni kweliIn short wanawake wengi wanakiuka marriage ethics. ..na hapa ndipo kunapelekea michepuko yenye kulilia ndoa ipate nafasi, ukimkuta mchepuko aliyekuwa akitafuta mume na aliyefundwa lazima mwanaume uhamie. Nani anayependa kuungua na jua wkt kuna kivuli?
Sikutemi sweetheart we tulia usiwe na paparaNaona unataka kunitema kijanja.
Hivi DJ ana matunguri gani?
Kuna michepuko mingine ni "Alhamdulilahi" unaonja mapenzi ya uzeeni na ni heri umpate mzee mwenzio kuliko vibinti vinavyopepesa macho kila vinapoona vibanda vya kuuzia chips na nyoma choma..Ndo maana sometimes naunga mkono mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja coz wale wake wataishi na wewe kimashindano hivyo kupelekea wewe kuwa na furaha
Mzee kapitia mengi kaona vingi wengi wao wametulia sasa utoke kwa mkeo then uhamia kwa binti ni km kuruka mkojo kukanyaga jiviKuna michepuko mingine ni "Alhamdulilahi" unaonja mapenzi ya uzeeni na ni heri umpate mzee mwenzio kuliko vibinti vinavyopepesa macho kila vinapoona vibanda vya kuuzia chips na nyoma choma..
Sasa hapa DJ lazima BP ifluctuate.Sikutemi sweetheart we tulia usiwe na papara
Simba mwenda pole ndie mlaji nyama ilononaSasa hapa DJ lazima BP ifluctuate.
Usijali bana kapeace sina papara
Hadi na mapupu yake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Simba mwenda pole ndie mlaji nyama ilonona
YapyapHadi na mapupu yake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na wewe unapenda mapupu?Yapyap
MhNa wewe unapenda mapupu?
Ooh jamani. Hii inachekesha hapo kwenye mapungufu zaidi ya buku ila unafanya vema sana kumpa heshima yake.Kiukweli mimi ni mmoja wapo [emoji134]♂️.....ndio maana huwa namuheshimu zaidi mke wangu kila niwaonapo watoto wetu pamoja na mapungufu yake zaidi ya buku lakini sijawahi kuacha kumpa heshima yake ya kua mama bora
Mbona unaguna
hongera baba mwema !nimekupenda bila sababu