[emoji85] [emoji85] [emoji85]Mbona unaguna
Hongera sana mkuu na Mungu akubariki,
Kapeace baby unajionea maneno ya mwifwa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hujui hata kipindi cha kampeni watu waliomba kura kwa unyenyekevu kabisa ila sasa ndio unaona hali ilivyo.
Pole DJ, kapeace nishamnasa kitamboKapeace baby unajionea maneno ya mwifwa
Ngoja aje aniambie mwenyewePole DJ, kapeace nishamnasa kitambo
Jiandae na kisaikolojia kabisaNgoja aje aniambie mwenyewe
Baby wangu huwez mchukuaJiandae na kisaikolojia kabisa
We endelea tu kujifariji, hapo huna chako anza kupepesa tena machoBaby wangu huwez mchukua
Kirahisi hivyo ohoo Kapeace wangu
HadithiWe endelea tu kujifariji, hapo huna chako anza kupepesa tena macho
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hayo Mapenzi kwa Tanzania yamebaki kwa Wachagga !Maana wale jamaa wapo na wazungu sana,Yani Moshi na huko Marangu mzungu akipita ni wa kawaida sana tofauti na kanda ya ziwa!Huko Geita akipita mzungu kila mtu atataka piga naye picha na kumwomba hela,Yaani watu wa huko hawajuagi kwamba nao wazungu hawanaga hela
Tupo........Na wapo wachache kweeli wa hivyo
Hongera mkuuTupo........