Hongera sana mkuu na Mungu akubariki,Kiukweli mimi ni mmoja wapo [emoji134]♂️.....ndio maana huwa namuheshimu zaidi mke wangu kila niwaonapo watoto wetu pamoja na mapungufu yake zaidi ya buku lakini sijawahi kuacha kumpa heshima yake ya kua mama bora
Joanah kasema umuache DJ uje kwangu ili yeye abaki na DJ, una afiki hiyo kauli?Kazana kiume
Kapeace baby wangejua nakupenda kila sekunde dakika saaYaani ndo km wamechochea upendo sasa
Kwanini yeye asije kwako??? Huyu DJ ana nini yawezekana anatema dhahabu [emoji12] [emoji12] [emoji12]Joanah kasema umuache DJ uje kwangu ili yeye abaki na DJ, una afiki hiyo kauli?
Jay roho inamchomoka nakupenda piaKapeace baby wangejua nakupenda kila sekunde dakika saa
Mkuu ebu tulia, kapeace ameanza kukaribia chambo hapaKapeace baby wangejua nakupenda kila sekunde dakika saa
Mimi natema Makinikia, kwa nini ung'ang'anie huko?Kwanini yeye asije kwako??? Huyu DJ ana nini yawezekana anatema dhahabu [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Umemfanya nn mbona alikua hakuofiiJay roho inamchomoka nakupenda pia
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Jay roho inamchomoka nakupenda pia
Hahah kumbe unatii tu maagizo ya joanahJoanah kasema umuache DJ uje kwangu ili yeye abaki na DJ, una afiki hiyo kauli?
[emoji23] [emoji23] umesikia sato uyuMkuu ebu tulia, kapeace ameanza kukaribia chambo hapa
Yaani ungejua usingeulizaHahah kumbe unatii tu maagizo ya joanah
Hata sijui na jinsi anavyonibania ndo kanipa nguvu ya kukung'ang'ania km kupeUmemfanya nn mbona alikua hakuofii
Mh kweli???Mimi natema Makinikia, kwa nini ung'ang'anie huko?
Ila mm natoa haki sawa hamsin kwa hamsinHata sijui na jinsi anavyonibania ndo kanipa nguvu ya kukung'ang'ania km kupe
Nakunasua soon tu.Hata sijui na jinsi anavyonibania ndo kanipa nguvu ya kukung'ang'ania km kupe
Haina shida bebeIla mm natoa haki sawa hamsin kwa hamsin
Bado haujachelewa fanya chap chapMh kweli???
[emoji18] [emoji18] [emoji18]Nakunasua soon tu.