Hili hata mie Mtambuzi nisingekujibu.............swali gani liko uchi hivi?? Tafuta vijikona kona vya kupindia lakini direct namna hii!! Kama nilicheat nitacheka tu na kukujibu kwa swali ingine mf. kwa nini unaniuliza hivyo? bna ukirogwa ukatoa sababu tu umekwisha hahahahahaha eti ah nataka tu nijue!! ntakurudishia we ulishawahi? Ukisema ndio narukia ehee ilikuwaje? of coz utalitolea maelezo ikiwemo na justification ya kuwa ulilazimika baada ya kunyanyaswa na mpenzio, bla bla blah by teh time unamaliza nshakuchomekea story nyingine
hahahahahaha