Wanawake wanapokiri kuwa ni waongo!


hahahaha! Nimelipenda jibu lako.
Mtambuzi kama wewe ni mpenzi wangu na umeamua tuongelee mahusiano yetu yaliyopita kama nilicheat nitakwambia ingawa wewe unaweza ukahisi unadanganywa na huo ukweli.
 
hahahaha! Nimelipenda jibu lako.
Mtambuzi kama wewe ni mpenzi wangu na umeamua tuongelee mahusiano yetu yaliyopita kama nilicheat nitakwambia ingawa wewe unaweza ukahisi unadanganywa na huo ukweli.

Ahsante kwa jibu lako................ingawa umedandia jibu la mwenzio..............LOL
 
uongo is 2 much kutoka kwa wanawake, jamani wanadanganya mno mpaka unawahurumia.
kimsingi kama kuna wa kweli, upo mmoja kati ya elfu kadhaa. Yaani ni waongo kupindukia
Lakini wanaume katika mahusiano wako juu kudanganya
 
uongo is 2 much kutoka kwa wanawake, jamani wanadanganya mno mpaka unawahurumia.
kimsingi kama kuna wa kweli, upo mmoja kati ya elfu kadhaa. Yaani ni waongo kupindukia
Lakini wanaume katika mahusiano wako juu kudanganya

KUnawengine bado wanabisha juu ya hili...............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…