Wanawake wanapokiri kuwa ni waongo!

Wanawake wanapokiri kuwa ni waongo!

Hili hata mie Mtambuzi nisingekujibu.............swali gani liko uchi hivi?? Tafuta vijikona kona vya kupindia lakini direct namna hii!! Kama nilicheat nitacheka tu na kukujibu kwa swali ingine mf. kwa nini unaniuliza hivyo? bna ukirogwa ukatoa sababu tu umekwisha hahahahahaha eti ah nataka tu nijue!! ntakurudishia we ulishawahi? Ukisema ndio narukia ehee ilikuwaje? of coz utalitolea maelezo ikiwemo na justification ya kuwa ulilazimika baada ya kunyanyaswa na mpenzio, bla bla blah by teh time unamaliza nshakuchomekea story nyingine

hahahahahaha

hahahaha! Nimelipenda jibu lako.
Mtambuzi kama wewe ni mpenzi wangu na umeamua tuongelee mahusiano yetu yaliyopita kama nilicheat nitakwambia ingawa wewe unaweza ukahisi unadanganywa na huo ukweli.
 
hahahaha! Nimelipenda jibu lako.
Mtambuzi kama wewe ni mpenzi wangu na umeamua tuongelee mahusiano yetu yaliyopita kama nilicheat nitakwambia ingawa wewe unaweza ukahisi unadanganywa na huo ukweli.

Ahsante kwa jibu lako................ingawa umedandia jibu la mwenzio..............LOL
 
uongo is 2 much kutoka kwa wanawake, jamani wanadanganya mno mpaka unawahurumia.
kimsingi kama kuna wa kweli, upo mmoja kati ya elfu kadhaa. Yaani ni waongo kupindukia
Lakini wanaume katika mahusiano wako juu kudanganya
 
uongo is 2 much kutoka kwa wanawake, jamani wanadanganya mno mpaka unawahurumia.
kimsingi kama kuna wa kweli, upo mmoja kati ya elfu kadhaa. Yaani ni waongo kupindukia
Lakini wanaume katika mahusiano wako juu kudanganya

KUnawengine bado wanabisha juu ya hili...............
 
Back
Top Bottom