Pre GE2025 Wanawake wanasema haki sawa na wanaume lakini bado wanahitaji upendeleo wa viti maalum?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Nashindwa kuelewa nini hawa wenzetu wanakuwa wanamaanisha.

Utawasikia lazima tupate 50/50 maana binadamu wote ni sawa na tunaweza kufanya kazi zote zinazofanywa na wanaume.

Lkn wakati huo huo wanalilia kupewa nafasi za upendeleo yaani viti maalum!

Nashindwa kuelewa nini wanakusudia kulielimisha taifa juu ya uwepo wako ktk jamii.

Ni kwanini wapewe upendeleo wa kupitia viti maalum?
Je hawajiwezi kusimama majimboni kugombea ?
Your browser is not able to display this video.
 
Haki sawa inabidi iende sawa na wajibu sawa


Mwanaume unahangaika ili upate pesa ya kuhudumia familia, unakuta yeye ana kazi pia ila hachangii kwenye matumizi na anakuambia sio wajibu wake (chako changu, changu changu)


Halafu anakuja kukuambia haki sawa 😂😂
 
Tangu mwanzo wa kuumbwa kwa ulimwengu Mwanamke ni kiumbe kisichoridhika yaani ni watu wa tamaa.Kumbuka leo Rais ni Mwanamke ambaye anawakilisha SERIKALI,Spika ni Mwanamke ambaye anaongoza BUNGE chombo cha kutunga Sheria nchini lakini bado hawajaridhika.Hata nafasi zote za kiutawala Tanzania kuanzia kitongoji hadi Serikali Kuu wakishika wao tu wataendelea kulalamika kuwa hawaheshimiwi kwa sababu ni Wanawake.
 
Tamaa na kutojiamini ndiyo chanzo.
 
Hao watu inabidi ifike mahali na sisi watuheshimu.Wanajitapa kuwa walituzaa.Je wao walizaliwa na akina nani?
 
Wanawake wabinafsi Sana mungu alikuwa sahihi kabisa Zama zile kuwaona kama NI viumbe na sio watu ndio maana hawakuwa wakihesabiwa kama watu kwakuwa hawakuwa watu Bali viumbe
 
Kimsingi wanachodai ni upendeleo si usawa!

Kama usawa waanze kudai kwenye mahari tutoe wote Sawa, Kisha tulete wote mkate mezani Sawa ndipo tugawane MALI Sawa!

Hilo hawataki kusikia, wao wanataka Mali tu igawanywe 50-50!
 
Inasikitisha sana
 
Sasa tuwafanyeje mkuu au ndiyo tuzibe masikio?
 
Tamaa na kutojiamini ndiyo chanzo.
Alafu sasa wakipata nafasi ya kuwa na kipato kikubwa kuliko mumewe basi dharau na manyanyaso ndiyo vinazidi na mwishowe wengi wenye madaraka hawapo kwenye ndoa
 
Wanawake wabinafsi Sana mungu alikuwa sahihi kabisa Zama zile kuwaona kama NI viumbe na sio watu ndio maana hawakuwa wakihesabiwa kama watu kwakuwa hawakuwa watu Bali viumbe
Daaa kumbe ?
Hii ndiyo kwanza naipata mkuu Asante
 
Ruzuku kwa vyama vya siasa na viti maalum ni mzigo kwa Taifa hili maskini ambalo bado linajitafuta.

Wanafunzi hawana hata madawati lakini tunapeleka pesa kwa watu ambao kazi yao ni kuuza maneno tu.
 
Kimsingi wanachodai ni upendeleo si usawa!

Kama usawa waanze kudai kwenye magari tutoe wote Sawa, Kisha tulete wote mkate mezani Sawa ndipo tugawane MALI Sawa!

Hilo hawataki kusikia, wao wanataka Mali tu igawanywe 50-50!
Wabinafsi sana
 
Ruzuku kwa vyama vya siasa na viti maalum ni mzigo kwa Taifa hili maskini ambalo bado linajitafuta.

Wanafunzi hawana hata madawati lakini tunapeleka pesa kwa watu ambao kazi yao ni kuuza maneno tu.
Kwa hili nakuunga mkono kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…