Pre GE2025 Wanawake wanasema haki sawa na wanaume lakini bado wanahitaji upendeleo wa viti maalum?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nilitaka kucomment hivi, umeniwahi.
 
Haki sawa ni mapango wa mpinga kristo, kataa mpango wa 50/50, ndo mana kizazi kinazidi kuharibika kwa kukosa malezi , mwanamke Yuko bize kama mwanaume,

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Tayari ushachanganya mada.
Nimeamini bange ya chato ni kali kuliko Ile ya Njombe
Nausukuma uzi utembee unarudisha mashambulizi sasa turudi kwenye maisha yetu ya kawaida naona ushajipiga ulanzi hapo!
 
Nausukuma uzi utembee unarudisha mashambulizi sasa turudi kwenye maisha yetu ya kawaida naona ushajipiga ulanzi hapo!
Na kibaridi hiki ukipiga bange ya chato inakupelekesha hadi unasahau kuwa upo kwenye msiba
 
Sasa tuwafanyeje mkuu au ndiyo tuzibe masikio?
Jibu rahisi ni kuziba masikio.Lakini pia inabidi tuwape ukweli kuwa hakuna mtu anastahili kuonewa huruma kwa sababu tu ya jinsia yake bali bidii,uwezo na maarifa ya utendaji kazi ndiyo msingi bora wa haki sawa.
 
Kwa wa Kristo mwanamke hawezi kupata haki sawa na mwanaume. Kwa mujibu wa Biblia haiwezekani. Mwanzo 3
16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…