Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Salaam sana
" Watakuja masingle maza hapa na wanawake mafeminist pamoja na wanaume wajinga na wavivu kuwajibika kupinga waraka huu wa kweli kuhusu hawa viumbe wazuri malaika na mauwa ya duniani zawadi kwa wanaume, wanao tafuta hela zao wenyewe"
Ndugu zangu kama tujuavyo tokea enzi na enzi kabla ya wanawake hawa viumbe tulio ambiwa ni dhaifu kuumbwa kutoka kwenye ubavu wetu sisi wanaume tulipewa mamlaka , nguvu , sauti ya usemaji , Amri na kazi za kufanya na Mwenyezi Mungu ikiwemo kuitunza bustani. ( Bustani aliyoambiwa kuitunza kwa sasa hivi tunaweza kusema ni familia) .
Hakuna mahali popote hata baada ya wanawake kuumbwa na kabla ya uasi wa Eva / Hawa kumsababisha Adamu kuingia matatizoni wanawake walipo pewa kazi ya kutafuta chakula ( hela) zaidi tuu ya Adamu kuumbiwa mwanamke msaidizi", na ndiyo wanawake walivyo umbwa. Hakuna popote wanawake walipoambiwa watafute hela watunze na kulisha familia zaidi ya kumsaidia mwanaume.
Ndugu zangu ikumbukwe pia hata baada ya uasi kule bustani ya Eden. kazi ya mwanamke Aliyopewa na muumba wake ilikua ni kuzaa kwa uchungu na siyokutafuta chakula. Mwanaume ndiye aliyeambiwa atakula kwa jasho na ardhi atailima kwa uchungu na kula matunda yake. Pia tujue wazi kabisa mwanamke yupo ndani ya mwanaume na siyo mwanaume ndani ya mwanamke, mwanamke ni kipande cha ubavu kilichotolewa ndani ya mwanaume. Hivyo moja kwa moja mwanaume anapotafuta chakula maana yake mwanamke aliyetoka kwenye ubavu wake na watoto wa viuno vyake watakula na kuishi kutokana na mwanaume na siyo mwanamke au watoto watafute chakula / hela
Pia tunajua kabisa mwanamke alipotafuta chakula huko kabla ya dhambi ndipo alipo muingiza mwanaume ( ADAMU) matatani na mpaka sasa sisi wanaume tupo matatani
Sasa ndugu zangu nimeanza hivyo ili kuweka sawa niweze kueleweka vizuri hapa
1: Hawa wanawake wanaotafuta hela ( kufanya kazi) wanao hubiriana na kusutana na wanaume pamoja na kushindana nao kwamba na wao wanaweza kuzitafuta hela , ijulikane lengo lao kubwa ni kutafuta hela zake binafsi ili kumtawala mwanaume na kuleta mfumo jike wa shetani ndani ya familia na duniani kote
2: Hawa wanawake na wake zenu tunao waona huko masokoni na kwenye biashara mbali mbali wengi wao wamewaacha waume zao siyo kwasababu waume zao hawajiwezi ila wameamua kutoka kutafuta hela zao wenyewe ili kumpindua mwanaume na kuonyesha mwanaume siyo chochote kitu kwake na hakuna kitu anaweza mpangia
3: Hawa wanawake na wake zenu walioajiriwa huku maofisini hawatafuti hela kwaajili ya kukusaidia majukumu wewe mwanaume, bali wanatafuta hela kwaajili yao wenyewe ili kukuonyesha wewe mwanaume siyo kitu wala chochote kwake, wanatafuta hela ili waweze kufanya mambo yao ambayo wewe mwanaume ndiyo ulipaswa umtimizie kwa kibali na utaratibu maalumu na siyo yeye kujiamulia tuu ndiyo maana hata akivaa nguo za uchi kuja ofisini ukimkataza atakujibu "HUKUMPA HELA ALINUNUA KWA HELA YAKE". kama ungempa hela angenunua yenye heshima unayoitaka wewe avae.
4: Hao wake zenu wanao waaga (kuwapa taarifa) kila asubuhi kuwa wanaenda kazini hawaendi kufanya kazi ili wapate hela wakusaidie kuendesha familia . Wanaenda kazini ili wapate hela ili watakapo vunja ndoa kwa kisingizio cha kushindwa kuvumilia waweze kuishi peke yao huko duniani.
5: Wanawake wanatafuta hela kwa lengo la kumdhibiti na kumnyamazisha mwanaume asiwe na sauti yeyote ndani ya nyumba na popote pale duniani na siyo vinginevyo
7: Wanawake wanatafuta hela ili wawaambie watoto wako kua wewe baba yao unawatesa hautimizi majukumu ya kifamilia ndiyo maana yeye anafanya kazi kwa manyanyaso ili atunze familia awalishie na baba yao. Ili atakapo leta vurugu na dharau ndani ya ndoa wewe baba ukimchukulia hatua mkeo ,watoto wako wakuone una muonea mama yao
8: Wanawake wanatafuta hela ili iwe rahisi kuacha kukutii na kukuheshimu mwanaume, ndiyo maana akiwa na hela atakuambia tuachane au niache kila mtu afate maisha yake, ndiyo maana akiwa na hela atatumia tuu kununua mawigi, vinguo vya hovyo au kwa mambo ya kijinga bila kukushirikisha na ukiuliza atasema ni zake siyo zako (zenu)
9: Wanawake wanatafuta hela ili kujiondoa chini ya mamlaka bora ya usimamizi wa wanaume , tena wanatafuta hela na kufanya kazi ili watoke kwenye kusimamiwa, kuongozwa na kupangiwa maisha yenye utaratibu na wanaume zao na siyo anatafuta hela ili kukusaidia kuongeza uchumi.
10: Wanawake wanatafuta hela ili wawe huru watoke kwenye kile wanachokiita utumwa wakiwa na wanaume ili waweze kuongeza mahasi duniani , kusambaza dhambi na mipango miovu ya shetani kwa kujitwalia SAUTI ya usemaji kwenye jamii, Na akipata hela, kapata sauti, sauti ya mwanamke mwenye hela kwenye jamii ni ya upotoshaji kwa asilimia 99 , malalamiko , husuda na majigambo na kuwatambia wanaume huku wakitoa elimu zenye kupotosha wanawake wenzao wasio na hela kuwa wananyanyaswa na ni wajinga kwa waume zao ndiyo maana hata mwenyezi Mungu aliamuru wanawake wakae kimnya na wasiwe wasemaji popote pale napia alikataa wasitafute chakula akawaambia wao ni kuzaa tuu
Nb: Wanaume amkeni, hao wanawake wenu hela zao ni kwaajili yao wenyewe na kutupindua wanaume hawazitafuti kwaajili ya kuendelea kuishi na sisi, wanazitafuta ili waishi wenyewe
" Watakuja masingle maza hapa na wanawake mafeminist pamoja na wanaume wajinga na wavivu kuwajibika kupinga waraka huu wa kweli kuhusu hawa viumbe wazuri malaika na mauwa ya duniani zawadi kwa wanaume, wanao tafuta hela zao wenyewe"
Ndugu zangu kama tujuavyo tokea enzi na enzi kabla ya wanawake hawa viumbe tulio ambiwa ni dhaifu kuumbwa kutoka kwenye ubavu wetu sisi wanaume tulipewa mamlaka , nguvu , sauti ya usemaji , Amri na kazi za kufanya na Mwenyezi Mungu ikiwemo kuitunza bustani. ( Bustani aliyoambiwa kuitunza kwa sasa hivi tunaweza kusema ni familia) .
Hakuna mahali popote hata baada ya wanawake kuumbwa na kabla ya uasi wa Eva / Hawa kumsababisha Adamu kuingia matatizoni wanawake walipo pewa kazi ya kutafuta chakula ( hela) zaidi tuu ya Adamu kuumbiwa mwanamke msaidizi", na ndiyo wanawake walivyo umbwa. Hakuna popote wanawake walipoambiwa watafute hela watunze na kulisha familia zaidi ya kumsaidia mwanaume.
Ndugu zangu ikumbukwe pia hata baada ya uasi kule bustani ya Eden. kazi ya mwanamke Aliyopewa na muumba wake ilikua ni kuzaa kwa uchungu na siyokutafuta chakula. Mwanaume ndiye aliyeambiwa atakula kwa jasho na ardhi atailima kwa uchungu na kula matunda yake. Pia tujue wazi kabisa mwanamke yupo ndani ya mwanaume na siyo mwanaume ndani ya mwanamke, mwanamke ni kipande cha ubavu kilichotolewa ndani ya mwanaume. Hivyo moja kwa moja mwanaume anapotafuta chakula maana yake mwanamke aliyetoka kwenye ubavu wake na watoto wa viuno vyake watakula na kuishi kutokana na mwanaume na siyo mwanamke au watoto watafute chakula / hela
Pia tunajua kabisa mwanamke alipotafuta chakula huko kabla ya dhambi ndipo alipo muingiza mwanaume ( ADAMU) matatani na mpaka sasa sisi wanaume tupo matatani
Sasa ndugu zangu nimeanza hivyo ili kuweka sawa niweze kueleweka vizuri hapa
1: Hawa wanawake wanaotafuta hela ( kufanya kazi) wanao hubiriana na kusutana na wanaume pamoja na kushindana nao kwamba na wao wanaweza kuzitafuta hela , ijulikane lengo lao kubwa ni kutafuta hela zake binafsi ili kumtawala mwanaume na kuleta mfumo jike wa shetani ndani ya familia na duniani kote
2: Hawa wanawake na wake zenu tunao waona huko masokoni na kwenye biashara mbali mbali wengi wao wamewaacha waume zao siyo kwasababu waume zao hawajiwezi ila wameamua kutoka kutafuta hela zao wenyewe ili kumpindua mwanaume na kuonyesha mwanaume siyo chochote kitu kwake na hakuna kitu anaweza mpangia
3: Hawa wanawake na wake zenu walioajiriwa huku maofisini hawatafuti hela kwaajili ya kukusaidia majukumu wewe mwanaume, bali wanatafuta hela kwaajili yao wenyewe ili kukuonyesha wewe mwanaume siyo kitu wala chochote kwake, wanatafuta hela ili waweze kufanya mambo yao ambayo wewe mwanaume ndiyo ulipaswa umtimizie kwa kibali na utaratibu maalumu na siyo yeye kujiamulia tuu ndiyo maana hata akivaa nguo za uchi kuja ofisini ukimkataza atakujibu "HUKUMPA HELA ALINUNUA KWA HELA YAKE". kama ungempa hela angenunua yenye heshima unayoitaka wewe avae.
4: Hao wake zenu wanao waaga (kuwapa taarifa) kila asubuhi kuwa wanaenda kazini hawaendi kufanya kazi ili wapate hela wakusaidie kuendesha familia . Wanaenda kazini ili wapate hela ili watakapo vunja ndoa kwa kisingizio cha kushindwa kuvumilia waweze kuishi peke yao huko duniani.
5: Wanawake wanatafuta hela kwa lengo la kumdhibiti na kumnyamazisha mwanaume asiwe na sauti yeyote ndani ya nyumba na popote pale duniani na siyo vinginevyo
7: Wanawake wanatafuta hela ili wawaambie watoto wako kua wewe baba yao unawatesa hautimizi majukumu ya kifamilia ndiyo maana yeye anafanya kazi kwa manyanyaso ili atunze familia awalishie na baba yao. Ili atakapo leta vurugu na dharau ndani ya ndoa wewe baba ukimchukulia hatua mkeo ,watoto wako wakuone una muonea mama yao
8: Wanawake wanatafuta hela ili iwe rahisi kuacha kukutii na kukuheshimu mwanaume, ndiyo maana akiwa na hela atakuambia tuachane au niache kila mtu afate maisha yake, ndiyo maana akiwa na hela atatumia tuu kununua mawigi, vinguo vya hovyo au kwa mambo ya kijinga bila kukushirikisha na ukiuliza atasema ni zake siyo zako (zenu)
9: Wanawake wanatafuta hela ili kujiondoa chini ya mamlaka bora ya usimamizi wa wanaume , tena wanatafuta hela na kufanya kazi ili watoke kwenye kusimamiwa, kuongozwa na kupangiwa maisha yenye utaratibu na wanaume zao na siyo anatafuta hela ili kukusaidia kuongeza uchumi.
10: Wanawake wanatafuta hela ili wawe huru watoke kwenye kile wanachokiita utumwa wakiwa na wanaume ili waweze kuongeza mahasi duniani , kusambaza dhambi na mipango miovu ya shetani kwa kujitwalia SAUTI ya usemaji kwenye jamii, Na akipata hela, kapata sauti, sauti ya mwanamke mwenye hela kwenye jamii ni ya upotoshaji kwa asilimia 99 , malalamiko , husuda na majigambo na kuwatambia wanaume huku wakitoa elimu zenye kupotosha wanawake wenzao wasio na hela kuwa wananyanyaswa na ni wajinga kwa waume zao ndiyo maana hata mwenyezi Mungu aliamuru wanawake wakae kimnya na wasiwe wasemaji popote pale napia alikataa wasitafute chakula akawaambia wao ni kuzaa tuu
Nb: Wanaume amkeni, hao wanawake wenu hela zao ni kwaajili yao wenyewe na kutupindua wanaume hawazitafuti kwaajili ya kuendelea kuishi na sisi, wanazitafuta ili waishi wenyewe