Wanawake wanatusifia wanaume wa Mbeya tuna miili ya kiume na macho yenye mvuto.

Wanawake wanatusifia wanaume wa Mbeya tuna miili ya kiume na macho yenye mvuto.

Habari ndo hiyo kama kichwa cha habari, lakini ni ukweli mtupu na pia napenda niwahakikishie wanawake sie pale kwa 6 by 6 ni wanyama, tuna pumzi ya mbwa na mikunjo na miguso ya washawasha.

Hii nimeambiwa na wanawake wengi ktk maeneo niliyopita hapa tanzania. Nipo songea matalawe kwa wiki hii na huku ni fujo tu, dada niliyekaa nae jana siti moja kwenye basi kuja huku alishindwa kunivumilia akaniomba namba ya simu, kina dada wananisumbua wakidai nyie madume ya kinyakyusa wengi mna miili ya kiume na macho yenye mvuto, pia wanapenda jinsi tulivyo na uanaume yaani kuwa juu ya mwanamke kimamlaka, tukisema tumesema, Kuwajibika kama mwanaume.

Wanaume wa mbeya na asili ya mbeya, kama inawezekana tupunguze kuwatesa madada.
Tupiamo tupicha twako....biashara matangazo.
 
Hata mimi nilikuwa kwenye bas juzi, nikatoa kitita cha buku ten, dada mmoja akashindwa kujizuia, akaniomba nimmnunulie chakula tukifika kitonga(comfort)...
Ila mimi nina macho mabayaa!

Sisi wanaume wa mikoa mingine tuna hela!
 
Kusifiwa na demu ni bahati sana hata uwe handsome kutamkiwa na demu we ni handsome boy huwa shghuli ngum ila pemben watasema. Hongera kwa kusifiwa ila pole sana kukubali sifa ya kiseng* hivo mi nilimwacha demu aliponambia nakupenda ulivo hasa hayo macho yako ya nyeg* nilikwazika sana hadi leo hajui sababu
 
Back
Top Bottom