Wanawake wanavyocheza mziki kwa kubinua makalio ni mitego kwa wanaume?

Wanawake wanavyocheza mziki kwa kubinua makalio ni mitego kwa wanaume?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Salama waungwana,

Niwaulize kwa uchache tu hivi huu ubinuaji wa maprosoo a.k.a makalio Kwa wanawake wakati wakicheza miziki nyakati hizi za ndebendebe na amapiano ni kwamba wanakuwa na stimu mbinuko kwenye hayo maeneo au dhamira ni uchokozi wa kupandisha stimu za ngono kwa wanaume.

Hii kero ni aibu aibu sijui wenye wake na wato wa 8+ years huko nyumbani hali ikoje.

Ntaendelea kukataa ndoa kwa nguvu zote hii hali hairuhusu kuoa.

Nawasilisha

Shukrani 🙏🙏🙏

Wadiz
 
Jitaidi unavyoleta thread kama ii uwe una kapicha kidogo mkuu maana sisi wengine walokole nama ostadh sehemu tajwa hizo hatuingii na itakusaidia kunogesha zaidi thread
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona wakina Yondo Sista walikua wanabinua makalio na viuno juu hamkuwasema
Wacha watu waoneshe walivyopewa mkuu[emoji38][emoji38]
 
MWALIMU NYEREREANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Salama waungwana,

Niwaulize kwa uchache tu hivi huu ubinuaji wa maprosoo a.k.a makalio Kwa wanawake wakati wakicheza miziki nyakati hizi za ndebendebe na amapiano ni kwamba wanakuwa na stimu mbinuko kwenye hayo maeneo au dhamira ni uchokozi wa kupandisha stimu za ngono kwa wanaume.

Hii kero ni aibu aibu sijui wenye wake na wato wa 8+ years huko nyumbani hali ikoje.

Ntaendelea kukataa ndoa kwa nguvu zote hii hali hairuhusu kuoa.

Nawasilisha

Shukrani 🙏🙏🙏

Wadiz
Wewe umewaonea wapi? Ndege wafananao huruka pamoja. Hama uswahilini
 
Hata ukiwauliza hawatakwambia ukweli mkuu,watasema wanajiachia Kwa Raha zao ila ukweli wanatega.
 
Salama waungwana,

Niwaulize kwa uchache tu hivi huu ubinuaji wa maprosoo a.k.a makalio Kwa wanawake wakati wakicheza miziki nyakati hizi za ndebendebe na amapiano ni kwamba wanakuwa na stimu mbinuko kwenye hayo maeneo au dhamira ni uchokozi wa kupandisha stimu za ngono kwa wanaume.

Hii kero ni aibu aibu sijui wenye wake na wato wa 8+ years huko nyumbani hali ikoje.

Ntaendelea kukataa ndoa kwa nguvu zote hii hali hairuhusu kuoa.

Nawasilisha

Shukrani 🙏🙏🙏

Wadiz


Mwanaume anayeangalia ndo anaamua.
 
Back
Top Bottom