Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Siku hizi kundi la team kataa ndoa linazidi kukua kila kukicha lakini wengi hawajui kiini cha tatizo ni nini?
Lipo kundi la watu wachache ambao kweli ni halali kwao kususia/kukataa kuoa kutokana na madhira waliyokutana nayo au waliyoyaona kwa watu wao wa karibu.
Lakini kundi kubwa lililobaki la team kataa ndoa wengi hawautendei haki uanaume wao.
Mwanaume umeumbwa kuwa leader na sio follower lakini sasa wengi wanaofanya kinyume chake, yani utakuta mtu mpaka pesa zake alizozitafuta kwa jasho anatunziwa na mkewe na mkewe anampangia matumizi ya hizo pesa.
Utakuta mtu mwanaume lakini hata kumkaripia mwanamke anapokosea hawezi, utakuta mtu mwanaume lakini shida ndogondogo zinazotokea nyumbani hawezi kuzitatua mpaka apate msaada kwa wanaume wenzake , inafika pahala hata kubadili bulb tu hawezi mpaka aite fundi.
Utakuta mtu hawezi kujiongeza kwa chochote ili asonge mbele kimaisha,miaka nenda miaka rudi maisha yake ni yaleyale hata kupiga hatua japo kidogo hawezi.
Unakuta mtu amezubaa zubaa mkewe ana mzidi akili kwa vitu vidogo sana.
Ulimbukeni na kupenda kusifia sifia hovyo wanaume wenzake wenye maisha mazuri.
Kumpenda mwanamke kuliko anavyojipenda yeye, mambo yake hatimizi anatimiza ya mkewe tu.
Kuwa legelege, mwanaume aliyelegea legea ni ngumu sana kupendwa kwa dhati na mwanamke, maana sifia kubwa ya mwanaume ni ulinzi na muonekano strong,kweli hapo hata akikuangalia ataona kabisa nipo na kidume.
Acha kumkubalia kubalia hovyo kila jambo unaloambiwa na mke wako,maana halisi ya leader hapo inaondoka utabaki kuwa follower tu na lazima akutapeli akatafute kidume kingine kiwe leader wake maana mwanamke ameumbwa kuongozwa na si kuongoza.
Lipo kundi la watu wachache ambao kweli ni halali kwao kususia/kukataa kuoa kutokana na madhira waliyokutana nayo au waliyoyaona kwa watu wao wa karibu.
Lakini kundi kubwa lililobaki la team kataa ndoa wengi hawautendei haki uanaume wao.
Mwanaume umeumbwa kuwa leader na sio follower lakini sasa wengi wanaofanya kinyume chake, yani utakuta mtu mpaka pesa zake alizozitafuta kwa jasho anatunziwa na mkewe na mkewe anampangia matumizi ya hizo pesa.
Utakuta mtu mwanaume lakini hata kumkaripia mwanamke anapokosea hawezi, utakuta mtu mwanaume lakini shida ndogondogo zinazotokea nyumbani hawezi kuzitatua mpaka apate msaada kwa wanaume wenzake , inafika pahala hata kubadili bulb tu hawezi mpaka aite fundi.
Utakuta mtu hawezi kujiongeza kwa chochote ili asonge mbele kimaisha,miaka nenda miaka rudi maisha yake ni yaleyale hata kupiga hatua japo kidogo hawezi.
Unakuta mtu amezubaa zubaa mkewe ana mzidi akili kwa vitu vidogo sana.
Ulimbukeni na kupenda kusifia sifia hovyo wanaume wenzake wenye maisha mazuri.
Kumpenda mwanamke kuliko anavyojipenda yeye, mambo yake hatimizi anatimiza ya mkewe tu.
Kuwa legelege, mwanaume aliyelegea legea ni ngumu sana kupendwa kwa dhati na mwanamke, maana sifia kubwa ya mwanaume ni ulinzi na muonekano strong,kweli hapo hata akikuangalia ataona kabisa nipo na kidume.
Acha kumkubalia kubalia hovyo kila jambo unaloambiwa na mke wako,maana halisi ya leader hapo inaondoka utabaki kuwa follower tu na lazima akutapeli akatafute kidume kingine kiwe leader wake maana mwanamke ameumbwa kuongozwa na si kuongoza.