Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
Okay, i got you broda......if you mean "a myth" but if you mean some sort of "erroneous belief" then naondoa shilingi.......si unajua kila mtu na experience yake broda.....
Kampe thanx sasa, unapenda kusifiwa bure tuasante kwa kutupa sifa sisi wanene, ni nadra sana kwa sisi kusifiwa....nimekupenda bure
Watu wengi wanasema hivo sina hakika embu wanaume jitokezeni mujibu hili, leo nitakula kiti moto kilo mbili nisije achwa
lol, naona umeshafika bei wewe sasa unatafuta means ya ku-justify uamuzi wako. Mkuu go ahead and knock ya' self out..huhitaji justification ya mtu kuhusiana na masuala ya moyo. Ila mie nna mkosi na wanene na staki kuwaskia tena. :rant:
What makes a good couple/wife is a woman herself, regardless of the size/shape of her body. You do not need a University degree to proove this. I am wondering what kind of research have you conducted to come to your conclusion; what was your sample size, unity of analysis and the like......
Just a simple point: look at sizes of women around you (mother, sisters, aunties etc)? What can you say about their sizes and their relationship?
Bora tumepata shavu, ni kweli kuna mtu mmoja aliniambia anapenda wanawake wanene sababu ni wakarimu sio wasumbufu, wembamba wanajidai sana na viburi juu, wanene ni wapole na wana heshima....nika mbishia kumbe kuna wengine pia wanaona hili? natamani apitie humu asome hii
Usiniache shosti mwenzangu kama mambo yenyewe ndio haya??? na kuna wengine wengi tu humu wanapenda vinene sio peke yako mtoa thread we subiria atajitokeza muda si mrefuWatu wengi wanasema hivo sina hakika embu wanaume jitokezeni mujibu hili, leo nitakula kiti moto kilo mbili nisije achwa
Ukubwa mnaoongelea hapa ni upi haswa?!Maana kuna kua mnene na kua na curves bila kua chibonge!!
Kumbe na wewe ni Kibonge...!!!
Mama Mch bana.....hapa sizungumzii hasa wale ambao duhhh!!!! (hope umenielewa, some kind of "obese")
Soma kalink haka huyu jamaa tunagongana mawazo kwa sana, and i think we share similar experienceIn Praise of BIG Women
Kampe thanx sasa, unapenda kusifiwa bure tu
Basi sema wanawake wenye curves na sio wanene.Maana wapo wanene wasio na curves zaidi ya upana wa tumbo kuzidi upana wa
hips na ukubwa wa tumbo kuzidi wowowo!!!Hehehhee...nwy hongera kwa kupenda wanawake wenye shape za kibantu!!
Kwa kweli nakubaliana na hilo kuwa wanawake wanene watamu. Mie wife wakati nakutana naye 2000 alikuwa mwembamba ofcoz alikuwa pouwa pamoja na hayo kwa sasa maenenepa si unajua tena mambo ya uzazi. Tuna watoto wawili na mama sasa kajazia. Kila nikiwa naye kwa bed najisikia raha sana. Ila mautamu yanapatikana sana kifo cha mende halafu miguu aikunje maana bila hivyo unaweza kuishia kula mapaja tu ha ha ha. Big up wanawake wanene