Wanawake wanene (vibonge) piteni hapa mchukue maua yenu

Wanawake wanene (vibonge) piteni hapa mchukue maua yenu

English figure au curve ladies, ni priority yangu🔥🔥.

hao ma sim tank, waachie kina Half american na Vishu Mtata a.k.a boyka wa vikindu🤣
Mimi na madjaba hapana japo nikipewa siachi, mi napendaga totoz fulani za size ya kati, kote kote yupo si mnene na wala si mwembamba. Alafu awe nalo kidogo la uchokozi.
 
Mimi na madjaba hapana japo nikipewa siachi,
hii kauli isha onyesha we ni ndumila kuwili🙄.

Jamani demu wa Half american ni huyu kwenye Picha, ana shindana na Vishu Mtata a.k.a boyka wa vikindu 🤣 🤣
FB_IMG_17365476955009233.jpg
 
Nikitembea hatua 2 miguu inawasha tabu kwelikweli
😆😆😅 niliwahi kuwa nae sijuwi ni 2020 vile! Upande mmoja nilikuwa namwonea huruma na kuomba kimoyomoyo angalau apunguwe kidogo.
Ila upande wapili nilikuwa namuombea azidi kufumuka ili nizidi kufaidi mema ya nchi maana mimi sina kiwango cha mwisho cha uzito kwa chibonge.
 
Hamna tofauti na kuenda kulima shambani
Hakika,paja hilo,kukumbatia mbuyu nako kazi....mwili unatakiwa uviringishwe mikononi mwa mume na akikukumbatia viganja vyake vikutane...

We,sasaaa...🤔 Unakuta mtu anavuja jasho na baridi hili la uyole😳
Bwana bwana,hilo jasho ni bora mtu upoteze hata kwenye kubet
 
Back
Top Bottom