Wanawake wanene (vibonge) piteni hapa mchukue maua yenu

Mbona huwa watu wakiniona live hasa wa humu wananiita mshangazi . Ila wanje nimeamua kutulia zangu ,wananitaa chimama wetu. Chimama,au chibonge wetu
 
Acha Sasa kutamani tumia akili piaπŸ˜‚πŸ˜‚
Kijana masikini
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† ni maumbile Mkuu siwezi kuacha kuwatamani.
Wanawake waliowahi kunitesa hadi nikawa sugu kwenye mambo ya kupenda ni wawili na wote ni Vibonge.
Mwanamke mwembamba hajawahi kuumiza roho yangu labda enzi za preimali skuuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…