Hahaha hahaha hahahaWeeeee thubutuuuuu umeanza kunizidi leo labda!
Kumbukumbu zangu zanambia me na ww tunalingana urefu
HahaaaaaHahaha hahaha hahaha
Labda nikikaa na wewe usimame ndo tutalinganaaa
Utanitetea, wewe si mchepuko wake[emoji39]Hahaha hahaha hahaha hahaha
Sitaki uchochezi jamanii
We mbishi sana ujueHahaaaaa
Si ndio ukikaa kwenye vile viti virefu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utanitetea, wewe si mchepuko wake[emoji39]
Kwani wewe pia mrefu???Naona warefu tumepewa promo, bana, Mimi issue ni kwenye viatu huwa nakasirika unapenda kiatu ukijaribu hakitoshiii, ukibahatika kupata sometimes mpk bei inaongezeka,(size 42 ya kike),
Ila tunaonekana warefu sababu kuna wafupi and vice versa .hivo tunategemeana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwani we ni mdada? Kwa wanaume we ni mfupi sana tu lakini kwa wanawake mi ni mrefu tu tena sanaMbona mm nina urefu huo (176cm) lakin sijion kama miongon mwa watu warefu. Mm ni mwnaume na nina urefu exactly the same na ww lakin sijion kuwa mrefu wala sina hisia za kuwa mrefu. Najiona kawaida tu na kuna wakati najihisi mm ni mfupi. Ww kitu gan kinakufanya ujione mrefu, labda ukivaa high heel. I wish ningekuona kwa macho yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni haki uamini mm mbishi kwakuwa wewe hadi ukae kwenye kiti kirefu ndio tunalinganaWe mbishi sana ujue
Mie sikaagi kwa viti virefuuuNi haki uamini mm mbishi kwakuwa wewe hadi ukae kwenye kiti kirefu ndio tunalingana
Hahaa
Nimecheka mpaka machoziHongera mama kuwa mrefu ni baraka, na ufupi ni laana mfano ni [emoji350] wa dodoma kichwa kinakua jirani na tumbo kitu kinachopelekea ubongo kuathirika na joto la mavi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee napenda wanawake warefu mimi japo mwenyewe kiandunje nahisi nimerogwa kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
No hujarogwa bana[emoji3] [emoji3] ,M/Mungu alikaa akaumba handsome boy mnazareth Kwa kimo hicho, tumshukuru yeye. Mimi napenda wanaume wafupiii ,so nadhani tutaendana mkuu[emoji3]Aisee napenda wanawake warefu mimi japo mwenyewe kiandunje nahisi nimerogwa kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nikionaga post zako moyo Wangu unaenda mbio uwiih[emoji23][emoji23][emoji23]kuna wengine hawanitaki eti mie andunje [emoji34][emoji34]No hujarogwa bana[emoji3] [emoji3] ,M/Mungu alikaa akaumba handsome boy mnazareth Kwa kimo hicho, tumshukuru yeye. Mimi napenda wanaume wafupiii ,so nadhani tutaendana mkuu[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa, mkuu wewe, miye maanduje ndyo wenyewe sasa, kama ni kiss ntakua nakuwekea kistuli usimame [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ndio maana nikionaga post zako moyo Wangu unaenda mbio uwiih[emoji23][emoji23][emoji23]kuna wengine hawanitaki eti mie andunje [emoji34][emoji34]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha utakuwa unaniekea hata ngazi pembeni kuepusha usumbufu wakati wa kissHahaaa, mkuu wewe, miye maanduje ndyo wenyewe sasa, kama ni kiss ntakua nakuwekea kistuli usimame [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana!