makelele ndo silaha yao... PtuuUbishi kidogo anachukulia umemdharau kwa sababu ya ufupi wake.
Bifu la mwanamke mfupi lazima majirani wasikie, atapayuka mpaka utakoma.
Umenikumbusha nilikuwa na kaboyfriend kafupi kafupi , usipopokea simu tuu anajua urefu unakupa kiburi. Ukitembea njiani ikiwa kama umebaki nyuma anasema unaona aibu kutembea naye.Ubishi kidogo anachukulia umemdharau kwa sababu ya ufupi wake.
Bifu la mwanamke mfupi lazima majirani wasikie, atapayuka mpaka utakoma.
Hahaha, hii thread mods waifute maana huu ni ubaguzi wa kimaumbile.
Hahhahaahahah mimi huwa sitaki hata wanisemeshe. Kwani hawaoni wafupi wenzao bhana kupeana lawama tuu
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Nilivyoona likes zako nikakumbuka[emoji23][emoji23].Kuna watu tutapasua simu zetu leo.
Nilishawahi kuambiwa, "Siwezi kuwa na mtu ninayemzidi urefu."
Umenikumbusha nilikuwa na kaboyfriend kafupi kafupi , usipopokea simu tuu anajua urefu unakupa kiburi. Ukitembea njiani ikiwa kama umebaki nyuma anasema unaona aibu kutembea naye.
Akigomba sasa yeye si ni mfupi nikimwangalia kwa chini anasema namwangalia kwa dharau yaani nampandisha na kumshusha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116]
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Nilivyoona likes zako nikakumbuka[emoji23][emoji23].
Kwani hamuoni size zenu lakini? Halafu kwa kung'ang'ania hamjambo
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Hahaha yaani wewe upo kama mimiHahhahaahahah mimi huwa sitaki hata wanisemeshe. Kwani hawaoni wafupi wenzao bhana kupeana lawama tuu
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Mkuu yaani imebidi nicheke kwa sautiHongera mama kuwa mrefu ni baraka, na ufupi ni laana mfano ni [emoji350] wa dodoma kichwa kinakua jirani na tumbo kitu kinachopelekea ubongo kuathirika na joto la mavi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashushia na juisi ya ndimu[emoji51]Wafupi tunasoma comments tu.
Kumbe wewe ni kiandunje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha!
Tunateseka jamani. Mdogo wangu ni mfupi kuliko mimi, ila wanawake anaotoka nao mimi siwezi aisee, maana ni matolu hasa.
Halafu wako poa tu.
Hahahahaha hahahha hahahha nimecheka jamani.Lile dongo mpaka leo ninalo, lilinipa fundisho ya kuchagua size yangu.
Hahhahaha. Kung'ang'ania tuu wasivyovifikia.
Wana gubu hatarii...Umenikumbusha nilikuwa na kaboyfriend kafupi kafupi , usipopokea simu tuu anajua urefu unakupa kiburi. Ukitembea njiani ikiwa kama umebaki nyuma anasema unaona aibu kutembea naye.
Akigomba sasa yeye si ni mfupi nikimwangalia kwa chini anasema namwangalia kwa dharau yaani nampandisha na kumshusha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116]
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Hahahahaha hahahha hahahha nimecheka jamani.
Kwa hiyo siku hizi ukiona aliyekuzidi hata haaujisumbui?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.