Wanawake Warefu (Tall Women)

Wanawake Warefu (Tall Women)

warefu hawafai kwa matumizi ya binadamu,hata kule jukwaa la chini kabisa wanawake warefu hakuna,kina victoria cakes,marie luv,blu diamond,na wengineo hakuna warefu
 
Katika maisha ya mwanadamu kuishi hapa duniani kuna mambo mengi sana Mungu amemficha mwanadamu na kumnyima ujuzi. Kubwa sana ni kwanini ameumbwa alivyo.

Kuna wakati huwa nakaa najitathimini mimi mwenyewe na kujiuliza kwanini mimi Mungu aliniumba hivi nilivyo jibu linakija kwa mbali sana kama mwanga hafifu kabisa katika giza toronto.

Kuna walioumbwa wanene, wembamba, weusi, weupe, warefu, wafupi, wakati, wenye nguvu sana, wenye akili sana, wenye kucheka sana, waongeaji sana, wakimya sana, wakatili sana, wakarimu sana, wenye sura nzuri sana, wenye maumbo ya kuvutia sana, wenye matako makubwa sana na yakuvutia, wenye matako makubwa sana yasiyovutia, wenye ngozi laini sana na yenye mvuto, wenye ngozi ngumu sana yenye mvuto, wenye nywele ndefu sana na za kuvutia, wenye vipilipili, wanaojiamini sana na kuwafanya wengine wajiskie salama kuwa nao, wasiojiamini kabisa wanaowapa wengine wasiwasi na hofu ya kuwa nao.

Maumbile yetu tumepewa na Mungu kuweza kuishi katika mazingira tuliopo. Wazungu wamepewa ngozi nyeupe kwakua sehemu wanapoishi hakuna jua.
Waafrika wamepewa ngozi nyeusi kwa kua miale ya jua inatuchoma driectly moja kwa moja.

Ila ukiachilia mbali mazingira yetu, Mungu wetu ametuumba tulivyo tofauti tofauti kwakua ni Mungu ambaye ni Tajiri wa ubunifu Our God is Rich in Creative. Mungu ni Tajiri wa ubunifu na ndio maana kaumba kwa kila namna kwa utofauti sana.

Sio kweli Tabia ya mtu inatokana na maumbile yake la hasha bali mazingira ya malezi yake na watu aliyowazunguka. Vile vile kujiamini ni tabia mtu anayooteshewa na walezi au wazazi wake toka utoto wake.

Wapo watu wengi wanaamini maumbile fulani yataweza zaidi katika kufanya mapenzi kuliko maumbile fulani nalo sio kweli. Nimetembe kwingi nimeona mengi ufundi na umaridadi wa mtu unatokana na anavyojituma katika kile anachokifanya. Kujituma toka ndani ya nafsi mpaka nje. Wapo warefu sio wakata viuo. Wapo wafupi ni mafundi sana kitandani na kazin, wapo warefu ni magogo na wavivu kazink, wapo warefu ni moto wa kujituma haswa. Wapo wafupi wanajiamini sana na wanatoa faraja kwa wengine, wapo warefu hawajiamini kabisa na wanakatisha tamaa hata kuwa nao katima maisha. Wapo wanene ambao ni flexible wapo wembamba ambao ni visiki.

Mungu abarikiwe kwa kutuumba tofauti tofuati kwa umaridadi wake wote.

Usiringie mwili wako ringia kile kilicho ndani ya mwili wako maana ndicho haswa watu wanakihitaji kwa matumizi ya muda mrefu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau natumai siku kwenu inaenda vizuri.
Leo ningependa kuongelea kidogo kuhusu sisi wadada warefu ambao tupo wachache Tanzania. Binafsi mimi nina urefu wa 5'9+ (176cm) na hii nimepimwa nikiwa sijavaa chochote miguuni. Nikivaa kiatu chochote au hata ndala, moja kwa moja nakuwa 5'10+. Na nikivaa high heels nakuwa 6'0+.

Sababu kuu ilionifanya niwe mrefu ni "genetics", wazazi wangu wote ni warefu ingawa sio sana. Pia chakula nilichopatiwa nilivokuwa mdogo hasa hasa protein iliyonowezesha kukua mpaka kufikia kimo changu halisi.

Urefu una raha zake kwasababu, watu wanakuheshimu hata kama hawakufahamu vizuri. Wanakuona una busara na unaweza kuwa kiongozi. Pia unaonekana kwa urahisi zaidi kwenye umati wa watu na ukivaa nguo zinakukaa.

Urefu pia una shida zake kama vile, kupata nguo na viatu ni kazi kuliko wanawake wenye maumbo ya kawaida. Nguo hazitoshi na ukikuta inayokutosha mara nyingi kiuno (sana sana kwa suruali) kinakuwa kikubwa. Viatu ndo hata siongei vile vya kidada dada mara nyingi ni vidogo sana na mpaka kuja kupata vinavyonitosha na bei inapanda. Kingine ni kwamba sio kila siku mtu unapenda kuoneka kuna wakati unataka uwe "low profile" lakini hii haiwezekani. Kingine ni kwamba kila mtu akikuona ana penda kutoa maoni yake. Utasikia mara ooo hupati mume, au urefu wako umezidi au kwanini usiwe model hatakama haupendelei hiyo fani.

Hata hivyo napendelea kuwa mrefu na nina pendelea urefu wangu ingawa nilivokuwa mdogo niliuchukia sana. Lakini pia ningekuwa na uwezo wakuubadilisha ningependa kuongezeka nifikie 180cm au zaidi.

Asanteni. Nakaribisha mawazo yenu.
Duh.., umenikaribia urefu ujue.
 
Umenikumbusha nilikuwa na kaboyfriend kafupi kafupi , usipopokea simu tuu anajua urefu unakupa kiburi. Ukitembea njiani ikiwa kama umebaki nyuma anasema unaona aibu kutembea naye.
Akigomba sasa yeye si ni mfupi nikimwangalia kwa chini anasema namwangalia kwa dharau yaani nampandisha na kumshusha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116]

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Big brain matter more,

Ukijua kumake relation na watu wanao jielewa.

Yani utakuja kupata mume anae jielewa na mauwezo kama yote.

Napenda niwe na mke mrefu.
I like u.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom