Wanawake/wasichana na imani katika mapenzi.

Wanawake/wasichana na imani katika mapenzi.

Loyal_Merchant

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
623
Reaction score
267
Kwa nini ni rahisi sana kwa mschana/mwanamke kubadili imani yake (dini, dhehebu) ili kuwa na mpenzi(mwanaume) fulani..?
 
it all goes back to history...(mfumo dume)

and this is just one of many reasons...
 
wewe hujasikia wanaume wengi wamewaacha wapenzi/chmba wao kwa sababu wamekataa kubadili dini? Sasa hapo unataka kusema kwamba waanawake ni rahisi kubadili? siku nyingine utauliza " hivi ni kwa nini mwanamke akiolewa anahamia kwa mume?" lol
 
Back
Top Bottom