Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anyways niko 50/50 na hii story #chai si chai.![]()
NIMENUKUU KAMA ILIVO
Wewe unahisije, kwan kila story lazima details zote ziwepo , ww jua tuu alikuja kumtafuta, mm na ww hatujui n baada ya mda gani
Yani uni cheat halafu tuweke vitu sawa, hakuna kitu kama kuwekana sawa!Habari za leo wana JF, natumaini mko mzima wa afya. Okay, naomba nishare na nyie hiki kitu kwa wanawake na wanaume pia.
NIMENUKUU KAMA ILIVO
Huwa nawaambia watu kwamba ipo hatari kubwa sana kuhukumu bila kusikiliza hadithi ya upande wa pili. Ni kweli kitendo cha huyu jamaa si cha kiungwana lakini bado upo ulazima wa kumpa nafasi naye ajieleze ili kutoa a fair and just judgment.Nimekutana nayo kwenye mtandao wa instagram hii
Huenda alipata alichostahili sababu hatujui story ya upande mwingine wa mwanaume wake ( Ex Wake )
Kumbe ulikuepo!??Yeah alikunywa safari kubwa 5 na kvant 2
Yaani ukimaliza kumuua lazima na wewe utaanza kuitafuta nafsi yako, bora umfungeKuna kipengele umeacha alilewa bia kubwa tano na K vant pia
Hapo ndo alijiroga alijifanya anamkomesha ex mwishowe kakomeshwa yeye ila I swear mwanaume atakaenibaka kupiga picha na kurusha kwenye mitandao nikishindwa kumuua,ntamfunga maisha ,na nikishindwa namroga ntaenda hata msumbiji aseeh sijawahi roga mtu Ila ntajifunzia kwake...
Nitajifunza uganga na uganguzi kwa ajili yako.Kuna kipengele umeacha alilewa bia kubwa tano na K vant pia
Hapo ndo alijiroga alijifanya anamkomesha ex mwishowe kakomeshwa yeye ila I swear mwanaume atakaenibaka kupiga picha na kurusha kwenye mitandao nikishindwa kumuua,ntamfunga maisha ,na nikishindwa namroga ntaenda hata msumbiji aseeh sijawahi roga mtu Ila ntajifunzia kwake...
Huyu si anatuona humu sote watoto!Hii itakuwa ni chai, timeline haijakaa sawa...
Kafanyiwa ushenzi wote huo jana kiasi akawa hajitambui, kapelekwa hospitali na kufanyiwa vipimo vilivyoonesha hawezi kuzaa tena, karecover na kuanza kupiga simu n.k n.k vyote hivi ni katika muda wa jana na leo [emoji56][emoji56]
EnesiBia kubwa ndo bia gani hizo[emoji848]