Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umempost mmeo ?We kama hujapostiwa tulia bwana, and of course sio lazima japo kuna raha yake.
Oh, yeah.Wewe umempost mmeo ?
Wengine wanafichwa kama bhangeOh, yeah.
Maisha yangu sijawahi kuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja, na sina hata mtu mmoja niliyemficha asione status zangu katika contacts zangu.Wengine wanafichwa kama bhange
Wewe unaweza ukawa una-date na mwanaume mmoja tu huna michepuko, ila huyo mwanaume wako ana wadada kama 10 hivi kawapanga, wote ana-sex nao kwa muda tofauti, au kama sivyo unaweza kukuta huyo mwanaume wako anachukulia wewe ni wa kupita (kupiga na kusepa) au yuko na wewe kwasababu anapopataka, ashatongoza akakataliwa, so Yuko na wewe sababu ameweza kukupata weweMaisha yangu sijawahi kuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja, na sina hata mtu mmoja niliyemficha asione status zangu katika contacts zangu.
Napenda amani, hivyo naishi maisha safi ya kimahusiano na uwazi. Hata yeye anajua, yuko peke yake.
Unafikiri mimi ni mjinga hadi nijitoe kwa mwanaume wa hovyo?Wewe unaweza ukawa una-date na mwanaume mmoja tu huna michepuko, ila huyo mwanaume wako ana wadada kama 10 hivi kawapanga, wote ana-sex nao kwa muda tofauti, au kama sivyo unaweza kukuta huyo mwanaume wako anachukulia wewe ni wa kupita (kupiga na kusepa) au yuko na wewe kwasababu anapopataka, ashatongoza akakataliwa, so Yuko na wewe sababu ameweza kukupata wewe
Maisha haya Nifah
Kwa hiyo tufanyeje?Angalia tu hata kwenye contact list yako.
Wanaopost sana status kuhusu valentines ni wale wasiojulikana bwana zao. Walioolewa na wale wenye mahusiano hai, hawajishughulishi sana.
Hahahahahahaha...atulieWe kama hujapostiwa tulia bwana, and of course sio lazima japo kuna raha yake.
Wewe umepostiwa?We kama hujapostiwa tulia bwana, and of course sio lazima japo kuna raha yake.
Sio mchezo hii comment iprintiwe alafu ifanyiwe lamination kabisaUnafikiri mimi ni mjinga hadi nijitoe kwa mwanaume wa hovyo?
Namjua vyema, nampenda sana na naamini katika kila kitu chake.
Ooh, Mkuu, You are here!We kama hujapostiwa tulia bwana, and of course sio lazima japo kuna raha yake.
Last time ulishauri nitumie JF app, niliweka lakini shida ya PM iko pale pale.Unafikiri mimi ni mjinga hadi nijitoe kwa mwanaume wa hovyo?
Namjua vyema, nampenda sana na naamini katika kila kitu chake.