Wanawake wasomi punguzeni kuringa na dharau kuna fursa mtazipoteza na baadae kujutia

Wanawake wasomi punguzeni kuringa na dharau kuna fursa mtazipoteza na baadae kujutia

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kuna baadhi ya dada zetu wamesoma na wanaelimu nzuri tu. Lakini wasomi wakike jamani wanaringa sana na kujiona wao ndiyo kila kitu na dharau za kutosha.

Wengi wao wanaona wao ndiyo bora mbele ya mwanaume lakini hata huko maofisini wapejipa majina yao wakijiita mafemenisti mh jamani ni balaa tupu.

Mbaya zaidi wanabagua sana wanaume wanaohitaji kufunga nao ndoa lakini pia hata ukiwa nao kwenye mahusiano ya kimapenzi kudadekti utaipata ya moto.

Mahaba yenyewe zero tu halafu ujuwaji mwingi kwa kweli mimi wananikwaza sana. Jua la jioni likifika wanasema mwanaume yoyote yule aje tu aniowe nyooo! kula chuma mpaka useme.

Soma Pia: Hawa ndio wanawake wetu wasomi, bado hatuelewi nini wanataka

Nawaombeni wadada wasomi tumieni elimu zenu pia kwa mendeleo ya kujenga familia zetu na ndoa zilizobora na sio kuleta mafarakano na shida kwa wanaume zenu.
 
Sasa mkuu mimi wangu ananizidi miaka miwili kiumri alafu Nina mzd kielimu Nina degree Ana diploma, kifedha namzdi mara 7 ya kipato chake, namzdi kimo,yeye ni muongeaji sana, mm wastani hapo vipi??

Namzdi exposure Ila yeye katangulia kuingia mjini kabla yangu ila mm nilipo ingia ni najua vitu sana kumliko

Mlevi mimi ni wastani nalewa ata mara moja kwa mwezi hapo vipi
Saikolojia ya kuoa inataka uoe mwanamke unayemzidi kila kitu
 
Sasa mkuu mimi wangu ananizidi miaka miwili kiumri alafu Nina mzd kielimu Nina degree Ana diploma, kifedha namzdi mara 7 ya kipato chake, namzdi kimo,yeye ni muongeaji sana, mm wastani hapo vipi??

Namzdi exposure Ila yeye katangulia kuingia mjini kabla yangu ila mm nilipo ingia ni najua vitu sana kumliko

Mlevi mimi ni wastani nalewa ata mara moja kwa mwezi hapo vipi
kuna mambo yamebalansi hapo ndio maana hamvurugani
 
kuna mambo yamebalansi hapo ndio maana hamvurugani
Ata kimo aonekana yeye ni mdogo kuliko mimi Ila Sasa Tatzo ni. Moja Huyu demu alinikuta mimi ni mademu namm nikamkuta yanatabia za kuzurura mabaa hovyo haja acha hizi tabia mimi mademu nimepunguza kutokana na majukumu familia ya watu watano(ndugu zangu inaniangalia kwa senti nayopata Kila siku)
 
Kuna baadhi ya dada zetu wamesoma na wanaelimu nzuri tu. Lakini wasomi wakike jamani wanaringa sana na kujiona wao ndiyo kila kitu na dharau za kutosha.

Wengi wao wanaona wao ndiyo bora mbele ya mwanaume lakini hata huko maofisini wapejipa majina yao wakijiita mafemenisti mh jamani ni balaa tupu.

Mbaya zaidi wanabagua sana wanaume wanaohitaji kufunga nao ndoa lakini pia hata ukiwa nao kwenye mahusiano ya kimapenzi kudadekti utaipata ya moto.

Mahaba yenyewe zero tu halafu ujuwaji mwingi kwa kweli mimi wananikwaza sana. Jua la jioni likifika wanasema mwanaume yoyote yule aje tu aniowe nyooo! kula chuma mpaka useme.

Soma Pia: Hawa ndio wanawake wetu wasomi, bado hatuelewi nini wanataka

Nawaombeni wadada wasomi tumieni elimu zenu pia kwa mendeleo ya kujenga familia zetu na ndoa zilizobora na sio kuleta mafarakano na shida kwa wanaume zenu.
Kweli wasomi wanazingua ila nakusihi ndugu yangu usije ukaoa mwanamke ambae shule hakuna
 
Sasa mkuu mimi wangu ananizidi miaka miwili kiumri alafu Nina mzd kielimu Nina degree Ana diploma, kifedha namzdi mara 7 ya kipato chake, namzdi kimo,yeye ni muongeaji sana, mm wastani hapo vipi??

Namzdi exposure Ila yeye katangulia kuingia mjini kabla yangu ila mm nilipo ingia ni najua vitu sana kumliko

Mlevi mimi ni wastani nalewa ata mara moja kwa mwezi hapo vipi
Apo kwenye mlevi
 
Nasemaje Mwanaume tafuta hela kwa nguvu zote na jitihada na akili zote.
Diamond kala pisi zenye elimu kwa sababu ya pesa na uoambanaji kulalamika hakusaidii.
 
Demu mwanangu anakunywa had kvant Sasa Ila kingine anachoniudh anapenda sana kueleza mambo yake wa watu wanaokuzunguka karibu ni kitu kibaya rahisi kudhulika kabila ni mhaya
Apo kwenye mlevi
 
Kuna baadhi ya dada zetu wamesoma na wanaelimu nzuri tu. Lakini wasomi wakike jamani wanaringa sana na kujiona wao ndiyo kila kitu na dharau za kutosha.

Wengi wao wanaona wao ndiyo bora mbele ya mwanaume lakini hata huko maofisini wapejipa majina yao wakijiita mafemenisti mh jamani ni balaa tupu.

Mbaya zaidi wanabagua sana wanaume wanaohitaji kufunga nao ndoa lakini pia hata ukiwa nao kwenye mahusiano ya kimapenzi kudadekti utaipata ya moto.

Mahaba yenyewe zero tu halafu ujuwaji mwingi kwa kweli mimi wananikwaza sana. Jua la jioni likifika wanasema mwanaume yoyote yule aje tu aniowe nyooo! kula chuma mpaka useme.

Soma Pia: Hawa ndio wanawake wetu wasomi, bado hatuelewi nini wanataka

Nawaombeni wadada wasomi tumieni elimu zenu pia kwa mendeleo ya kujenga familia zetu na ndoa zilizobora na sio kuleta mafarakano na shida kwa wanaume zenu.
Umesahau kusema kuwa pia ndiyo wanaongoza kwa Kunuka Mbunye / Maku zao kuliko hata wale Wasiosoma kama Wao.

Nimemaliza.
 
Demu mwanangu anakunywa had kvant Sasa Ila kingine anachoniudh anapenda sana kueleza mambo yake wa watu wanaokuzunguka karibu ni kitu kibaya rahisi kudhulika kabila ni mhaya
Mna watoto wangapi
 
Back
Top Bottom