GENTAMYCINE kwanini unasema wako hivi?Umesahau kusema kuwa pia ndiyo wanaongoza kwa Kunuka Mbunye / Maku zao kuliko hata wale Wasiosoma kama Wao.
Nimemaliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GENTAMYCINE kwanini unasema wako hivi?Umesahau kusema kuwa pia ndiyo wanaongoza kwa Kunuka Mbunye / Maku zao kuliko hata wale Wasiosoma kama Wao.
Nimemaliza.
FEMINISM imetuharibia watuKuna baadhi ya dada zetu wamesoma na wanaelimu nzuri tu. Lakini wasomi wakike jamani wanaringa sana na kujiona wao ndiyo kila kitu na dharau za kutosha.
Wengi wao wanaona wao ndiyo bora mbele ya mwanaume lakini hata huko maofisini wapejipa majina yao wakijiita mafemenisti mh jamani ni balaa tupu.
Mbaya zaidi wanabagua sana wanaume wanaohitaji kufunga nao ndoa lakini pia hata ukiwa nao kwenye mahusiano ya kimapenzi kudadekti utaipata ya moto.
Mahaba yenyewe zero tu halafu ujuwaji mwingi kwa kweli mimi wananikwaza sana. Jua la jioni likifika wanasema mwanaume yoyote yule aje tu aniowe nyooo! kula chuma mpaka useme.
Soma Pia: Hawa ndio wanawake wetu wasomi, bado hatuelewi nini wanataka
Nawaombeni wadada wasomi tumieni elimu zenu pia kwa mendeleo ya kujenga familia zetu na ndoa zilizobora na sio kuleta mafarakano na shida kwa wanaume zenu.
😄 nikajua unaongelea issue za maana kumbe mambo ya kudinyana wawe wepesi ama nn 😄Kuna baadhi ya dada zetu wamesoma na wanaelimu nzuri tu. Lakini wasomi wakike jamani wanaringa sana na kujiona wao ndiyo kila kitu na dharau za kutosha.
Wengi wao wanaona wao ndiyo bora mbele ya mwanaume lakini hata huko maofisini wapejipa majina yao wakijiita mafemenisti mh jamani ni balaa tupu.
Mbaya zaidi wanabagua sana wanaume wanaohitaji kufunga nao ndoa lakini pia hata ukiwa nao kwenye mahusiano ya kimapenzi kudadekti utaipata ya moto.
Mahaba yenyewe zero tu halafu ujuwaji mwingi kwa kweli mimi wananikwaza sana. Jua la jioni likifika wanasema mwanaume yoyote yule aje tu aniowe nyooo! kula chuma mpaka useme.
Soma Pia: Hawa ndio wanawake wetu wasomi, bado hatuelewi nini wanataka
Nawaombeni wadada wasomi tumieni elimu zenu pia kwa mendeleo ya kujenga familia zetu na ndoa zilizobora na sio kuleta mafarakano na shida kwa wanaume zenu.
Kabsa sasa huna standards hata wanaume tunastqndqrds bn wacha kila mtu ale kwa urefu wa kamba yakeWanawake wasomi wala hawaringi bt ni watu wa standard, usipozimeet standard zao utawaona wanaringa sana.
Nakupenda pia[emoji57][emoji57][emoji57]
Nina uzoefu nao kwakuwa 'Nimeshawakaza' mno.GENTAMYCINE kwanini unasema wako hivi?
Dada mi na wewe mule mule! La 6 B 😀Haya wasomi kina binti kiziwi na Makiwendo mkuje mpambane na uzi wenu. Sie la saba C tuko palee chini ya mwembe.
Bora hata wewe ulikuwa B, sio mwenzangu wewe😆Dada mi na wewe mule mule! La 6 B 😀
Ngoja wasomi waje.