OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Hivi dunia hii kuna mtu anamzuia mwanamke kuwaweka kinyumba wanaume wengi kiasi kwamba wanataka wanawake waruhusiwe? Waruhusiwe na nani?? Mwanamke kama ana kifua cha kuwahimili wanaume zaidi ya mmoja, awalipie kula na kulala, awe anawatunza kwa kila kitu; atakosa wanaume wa kwenda kwake???
Hakuna mwanamke anayezuiwa kuoa wanaume kama Mswati alivyooa wanawake wengi. Ila ili afanye hivyo inabidi awe na status ya Mswati. Pale kwa Mswati wanawake hawaburuzwi kwenda, wanapanga foleni Mswati anachagua anayetaka.
Kama kuna mwanamke anaweza kuwahimili wanaume wengi kwa nini asifanye hivyo? Akipata wanaume ambao wanapenda hivyo si tatizo. Lakini akiwakosa asilalamike, Mswati akikokosa wanawake unadhani atatumia bunduki kuwaleta??
Let the women play their game, but they should know their limits!!
I think ni kuhalalisha..................mbona tayari maisha hayo yapo
Kwani kuna tofauti gani na mwanamke aliyeolewa na ana uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwingine???????
haya tunahangaika nayo hapa duniani,
lakini mbinguni hayapo.
System ya mwanamke kuoa wanaume wawili au zaidi inatwa POLYANDRY.
Si kitu kigeni hapa Dunia Huko North India kuna kabila dogo watu la 30,000 katika eneo la Himachal Pradesh bado wana mila hiyo. Mostly bothers na causins ndiyo huchangia mke. mara zote mwanaamke huwa na Umri mkubwa kuliko waume zake.
Mnapangiwa zaamu kama kawa.
Leo wewe Majuto (24) ni zamu yako kwenda kukatia nyasi ngombe tunahitaji mizigo 10.
Kitochi (30) unatakiwa kwenda kumwagilia Bustani na kutifulia mimea kisha weka mbolea
Wambili (27) nenda mjini duka la jumla kalete mali mpya laki 5 hiyo hapo.
Mimi Mlimbwende (35) na Mipigo (21) tutakuwa hapa nyumbani kufanya usafi wa ujumla ndani ya nyumba.
Wote mnajua ni nani leo ni zamu yake kupiga.
Polyandry, or the practice of one woman marrying two or more husbands simultaneously
Na tukifika huko itakuwa Hamkani si shwari tena!trust me
ndio tunapoelekea huko....
Hivi dunia hii kuna mtu anamzuia mwanamke kuwaweka kinyumba wanaume wengi kiasi kwamba wanataka wanawake waruhusiwe? Waruhusiwe na nani?? Mwanamke kama ana kifua cha kuwahimili wanaume zaidi ya mmoja, awalipie kula na kulala, awe anawatunza kwa kila kitu; atakosa wanaume wa kwenda kwake???
Hakuna mwanamke anayezuiwa kuoa wanaume kama Mswati alivyooa wanawake wengi. Ila ili afanye hivyo inabidi awe na status ya Mswati. Pale kwa Mswati wanawake hawaburuzwi kwenda, wanapanga foleni Mswati anachagua anayetaka.
Kama kuna mwanamke anaweza kuwahimili wanaume wengi kwa nini asifanye hivyo? Akipata wanaume ambao wanapenda hivyo si tatizo. Lakini akiwakosa asilalamike, Mswati akikokosa wanawake unadhani atatumia bunduki kuwaleta??
Let the women play their game, but they should know their limits!!
aste aste mkubwa..ni mama zetu hao..wanahitaji staha!Nadhani sasa wanawake wanadhihirisha yale yaliyo nyuma ya kile wanachodai 'usawa'.
Nilidhani wanahitaji haki ya kupata elimu, kazi, makazi, kuheshimiwa, na mengine ya msingi.
Huwezi kufananisha African woman na Indian woman, culturally wapo tofauti na hata maadili ni tofauti.
No wonder siku watasema style ile ya kifo cha mende inawadhalilisha!
aamue tu kuwa malaya atakuwa huru sana ktk huo mkakati wake
Mfalme wa Swazi na Mwingira wa TanzaniaKatika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani,shirika la utangazaji la bbc limemkariri mwanamke katika moja ya maadhimisho hayo mjini Kampala nchini Uganda akiwahimiza wenzake kudai haki ya kuolewa na wanaume (mume zaidi ya mmoja) kwa wakati mmoja kama wanavyofanya wanaume ambao huoa wanawake kadhaazMwanamke huyo alienda mbali zaidi na kutaka yeye(mwanamke) ndiye
awe mkuu wa kaya na wanaume wapeane zamu za kwenda kuhudumiwa,akimtolea mfano mfalme Mswati wa Botswana ambaye ana wake wengi ambao huenda ktk kasri la mfalme kwa zamu na kwa matakwa ya mfalme.
Mfalme wa Swazi na Mwingira wa Tanzania
Kwa nini mwanamke akiwa na uhusiano na mwanaume zaidi ya mmoja anaitwa malaya na mwanaume mwenye uhusiano na wanawake lukuki haitwi malaya?
Nataka kuoa wanaume wawili!
Sifa
1: Kila mwanaume awe na nyumba yake
2: Nitawanunulia baskeli, kwani magari ni kukaribisha UNZK
3: Kazi yangu kuzaa tu, kila mwanaume atunze mtoto wake (nitazaa wawili tu)
4: Zamu itakuwa week week!
5: Kwenye mambo ya kiuchumi wanapaswa kushirikiana kama partners with shares of 24.5% each, of course nitabaki na 51%
Interested guys, send ur application humu humu!