MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 168
Mara nyingi sana napata mawazo ya watu wengi sana kuhusu uchaguzi wa mwaka huu,
nikikutana na akina mama karibia wote, wanalaumu sana JK kwa mambo alivyoyaendesha, lakini wanasema Upinzania hauwezi kushinda, eti CCM itashinda,
lakini linaloniuma sana ni kwamba wanasema kura yao hawataki kuipoteza kumpa mtu ambaye hatashinda. Najaribu kuwaelekeza kuwa hiyo ndo msg kwa kiongozi wao, lakini hawataki.
kwa hili naona kuwa watatupoteza sana maana wanataarifa juu ya utendaji mbovu wa JK lakini hawataki kumtosa kwa kura zao, Jamani tuwaelimishe popote tunapokuwa, kwa hizi siku za majeruhi!
nikikutana na akina mama karibia wote, wanalaumu sana JK kwa mambo alivyoyaendesha, lakini wanasema Upinzania hauwezi kushinda, eti CCM itashinda,
lakini linaloniuma sana ni kwamba wanasema kura yao hawataki kuipoteza kumpa mtu ambaye hatashinda. Najaribu kuwaelekeza kuwa hiyo ndo msg kwa kiongozi wao, lakini hawataki.
kwa hili naona kuwa watatupoteza sana maana wanataarifa juu ya utendaji mbovu wa JK lakini hawataki kumtosa kwa kura zao, Jamani tuwaelimishe popote tunapokuwa, kwa hizi siku za majeruhi!