Wanawake wawili wakimbilia polisi baada ya kutolewa mapepo kwa kuchapwa viboko

Wanawake wawili wakimbilia polisi baada ya kutolewa mapepo kwa kuchapwa viboko

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Waumini wawili wanawake, Mercy Rono (38) na Mercy Cherotich (30) kwa sasa wanauguza majeraha baada ya kutandikwa viboko na mchungaji wao, aliyedai kuwatoa mapepo kwa njia hiyo.

Kwa mujibu wa tovuti ya Tuko, tukio hilo limetokea kwenye Kanisa la Betheli katika eneo la Kapkwen, Kaunti ya Bomet nchini Kenya ambapo katika kuwatoa mapepo wachafu waumini hao, mchungaji aliwatandika viboko na kushindwa kuvumilia maumivu.

Inaelezwa baada ya uchungu wa viboko kuzidi wanawake hao walikimbia na kwenda kutoa taarifa polisi, huku mchungaji huyo na watu wengine waliohusika kutoroka na sasa wanatafutwa.
671a5a91b5cf0f1d.jpeg
 
Waumini wawili wanawake, Mercy Rono (38) na Mercy Cherotich (30) kwa sasa wanauguza majeraha baada ya kutandikwa viboko na mchungaji wao, aliyedai kuwatoa mapepo kwa njia hiyo.

Kwa mujibu wa tovuti ya Tuko, tukio hilo limetokea kwenye Kanisa la Betheli katika eneo la Kapkwen, Kaunti ya Bomet nchini Kenya ambapo katika kuwatoa mapepo wachafu waumini hao, mchungaji aliwatandika viboko na kushindwa kuvumilia maumivu.

Inaelezwa baada ya uchungu wa viboko kuzidi wanawake hao walikimbia na kwenda kutoa taarifa polisi, huku mchungaji huyo na watu wengine waliohusika kutoroka na sasa wanatafutwa.
View attachment 3247576
Shetani anatandikwa bakora noma sana
 
Huyo mchungaji itakuwa alikuwa na yake tu juu ya wanawake hivyo akaona hiyo ndio njia ya kuwamalizia hasira zake
 
Waumini wawili wanawake, Mercy Rono (38) na Mercy Cherotich (30) kwa sasa wanauguza majeraha baada ya kutandikwa viboko na mchungaji wao, aliyedai kuwatoa mapepo kwa njia hiyo.

Kwa mujibu wa tovuti ya Tuko, tukio hilo limetokea kwenye Kanisa la Betheli katika eneo la Kapkwen, Kaunti ya Bomet nchini Kenya ambapo katika kuwatoa mapepo wachafu waumini hao, mchungaji aliwatandika viboko na kushindwa kuvumilia maumivu.

Inaelezwa baada ya uchungu wa viboko kuzidi wanawake hao walikimbia na kwenda kutoa taarifa polisi, huku mchungaji huyo na watu wengine waliohusika kutoroka na sasa wanatafutwa.
View attachment 3247576
Siku hizi pia licha ya kutoa mapepo kwa bakora kwa wanawake yanotolewa na miti. Piga na kutandaza miti balaa hasa wake za watu piga miti hadi mapepo yote yatoke.

No MERCY when it comes to beat trees to remove demons

Chaliifrancisco

Nyau de adriz
 
Kuna ostaz niliwah muuliza hili swali,akanijibu eti kwasababu wanawake ni wasafi sana
Sina uhakika ,ila kuna mmoja alikuwa na mapepo kama hayo kumbe analazimisha mambo ,yaani kuna jamaa alikuwa anamchanganya mpaka shule hataki anataka kuoelewa...Alipoolewa yakaisha kabisa maana alikuwa analazimisha ,alilipiwa chuo hakwenda kabisa .

Baadaye kama miaka 3 na yule bwana wakachokana ,akaanza tena vile visa ili ndoa ivunjwe anajifanya ana majini kichwani..Mzee wake bandidu akasema kwa mara hii hampeleki popote acha yammalize hayo mapepo🤣🤣...


Wanawake wana wenge shule wakiona fimbo; wanajifanya wana majini kichwani ,wengine wanazimia kwa kudanganya.
 
Back
Top Bottom