kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Hao wachungaji fake mnawafuata wa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆.. huduma za kiroho zimevamiwa sana siku hizi na matapeli wa kiimaniWaumini wawili wanawake, Mercy Rono (38) na Mercy Cherotich (30) kwa sasa wanauguza majeraha baada ya kutandikwa viboko na mchungaji wao, aliyedai kuwatoa mapepo kwa njia hiyo.
Kwa mujibu wa tovuti ya Tuko, tukio hilo limetokea kwenye Kanisa la Betheli katika eneo la Kapkwen, Kaunti ya Bomet nchini Kenya ambapo katika kuwatoa mapepo wachafu waumini hao, mchungaji aliwatandika viboko na kushindwa kuvumilia maumivu.
Inaelezwa baada ya uchungu wa viboko kuzidi wanawake hao walikimbia na kwenda kutoa taarifa polisi, huku mchungaji huyo na watu wengine waliohusika kutoroka na sasa wanatafutwa.
View attachment 3247576